Huyo mama ni wa hajabu. SIsi mama yetu anampendelea zaidi asiye na uwezo na sisi hatusikii vibaya kwani tunaona ni huruma ya mama kwa mtoto. Yani tulikuwa na kaka yetu mama alikuwa anampendelea sana kwa kuwa alikuwa hana mbele wala nyuma; aliamua kwenda shule kwa sasa ana kazi yake na yuko mbali; ila those days alipokuwa arosto ndio alikuwa kipenzi na ukimsema vibaya kwa mama tegemea kununiwa.
Hiyo sio point nzuri unapoanza kumshauri mtu (usimfanye aone anavo hisi yeye ni sahihi),...
Back to the point,...
Mkuu,pole sana kwanza kwa yaliyo kukuta,..
Lakini mara nyingi ili hata Mungu akubariki inabidi ujifunze kuchukua "msalaba" wa mwenzio!
Hata kama unahisi una mchukia mama yako kwa sababu uliyo eleza,jaribu kujifanya mjinga kidogo,...
Assume kwamba wewe ndio tatizo la yeye kua hivo,yawezekana sababu ulizotoa kwamba
anapenda "wenye mali" ni mtazamo wako tu na sio kweli kwamba anapenda wenye mali,..
kwa mfano,mdogo wangu alikua hapendi sana kusoma,mimi nilikua napenda kusoma sana
na mara nyingi nilifanya vizuri,mdogo wangu alinionea wivu maana siku zote "nilikua mfano kwake kila
mama anapo ongea nae",....
Kwa mfano ungesikia "mbona kaka yako **** anafanya hivi na anafaulu,me sitaki watu wasio jituma
na wazembe kama wewe",......kama huyu dogo asingejituma na kuanza kuniiga katika kusoma,..
na kama "
asingeongea na mama kwamba hapendi kila anapo ongea nae anitolee mimi mfano"
basi leo hii huyu dogo angekua ana lalamika kwamba mama hampendi.
Point yangu ni kwamba,kaa chini,hata kama hujisikii kuongea nae jitahidi tu,....ongea na mama yako
kuhusu unavo jisikia juu yake,kua muwazi kabisa na utaondoa hasira zote ulizo nazo juu yake
(kwa kuongea nae tu kwanza),...then sikia atasemaje!
mwambie ukweli,mama nakupenda sana lakini mara nyingi sijisikii kuongea na wewe maana naona
kama hunipendi na unapenda watoto wako wenye mali tu
believe me,ni maneno magumu sana kuyatamka,lakini impact yake ni kubwa sana katika kujenga mahusiano
mapya na ya kudumu na mzazi wako,...
nakumbuka niliwahi kuongea kitu na mama kilicho kua kina nitatiza (kama mdogo wangu alivo ona napendelewa
nami kuna vitu niliona anapendelewa),niliongea nae kwa hasira kweli kiasi kwamba nikawa nalia wakati naongea,...
nilivomaliza nilienda kulala,mama alikaa kimya na kila nilipo msalimia alikaa kimya,.....
baadaye nilikuja kumuomba msamaha kwamba nimekosa kwa kuongea nawe kwa hasira,...this time ilikua
zamu yake kulia na kuniomba msamaha pia,....since then,life has never been the same!!!!!!
Kama ni ngumu sana kuongea na mama yako,basi kaa chini na ndugu yako mmoja unae mwamini,
mwambie kwa uwazi kabisa duku duku lako,then yeye ataongea na mama yako na mtajua chanzo cha tatizo ni nini,
yawezekana kabisa wewe ndio tatizo,ila hutajua kama wewe ni tatizo hadi muongee kwa
kina kujua chanzo cha yote hayo
Option za kuwa muwazi na kuongea ni ngumu sana nakuhakikishia,lakini option
nyingine ya kukaa kimya ni ngumu zaidi maana "
una mpa shetani nafasi ya kukudanganya kuhusu nini ufanye
juu ya hali iliyopo",.....trust me,shetani hata kushawishi kufanya mazuri,....
Matokeo yake ndo tutasikia oooh,kamuua ndugu yake,mdogo wake,mama yake (God forbid in Jesus name)!!!!
Njia pekee ni kuomba,then kaongee nao!
Yawezekana na wao (ndugu zako) na mama yako wana duku duku nyingi sana
kuhusu wewe lakini wanaona kuna namna flani ya ukuta kati yenu,....UVUNJE UKUTA HUO SASA!
All the best