Namuheshimu mama yangu lakini simpendi

Namuheshimu mama yangu lakini simpendi

mkuu baba yangu hakuwa tajiri,tuliishi maisha ya kawaida kabisa,lakini waliweza kutulea
kwa kweli jambo la kusema tulazimishe kupata mali mimi nipo kinyume kabisa
naishi maisha ya kawaida nina nyumba,kazi na kausafiri,na nina watoto wangu wazuri sana
jamani nifanye nini mimi ili niheshimike?

mkuu hujajibu swali hapo
mama aliridhika na hali hiyo ya baba??????
 
wakuu naombeni niweke mambo wazi
kamwe sitalazimisha mimi kupata fedha ili kumfurahisha mama yangu
narudia tena,mimi ninamwamini mungu,na ninajua mungu wangu ipo siku kwa wakati wake atanipa tu mali kama akipenda
swala langu ni hili la kutokuonekana wa maana mbele ya mzazi kwa sababu hizo
kumbukeni moyoni mwako nipo ok na mali nilizo nazo na nimeridhika na mungu anajua hilo
 
Gaga sijaona ulichoandika hapo&lt;br /&gt;<br />
na wewe nemo huoni ungeandika kwa kiswahili ungefanya la maana?????????
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
Mwenzangu boss brrrr brrr zinanichanganya kwenye ku quote, nime edit
 
Ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Katika familia hatuwezi wote tukawa sawa, lakini kama huna mali sijui ni mali gani unaongelea hapa, lakini walau utakuwa na hekima, ushauri na akili za kuangalia mambo hapo nyumbani. Kumbuka wazazi wanategemea matunda mazuri kutoka kwetu, sasa wewe umefanya nini kwa ajili ya familia yenu? Mi naona roho ya chuki ilikuingia dhidi ya huyo/hao ndugu walioanza kufanikiwa kwa ajili yako, na ukaona vile wanavyomsaidia mama naye anawabariki ukaona wivu.
 
Gaga sijaona ulichoandika hapo
na wewe nemo huoni ungeandika kwa kiswahili ungefanya la maana?????????

The Boss
Sasa na wewe si ungenitafsiria wangu? Mambo kusaidiana! Au jamii hakuna team work????? Anyhow here we go....................

Kwa mtazamo wangu, inawezekana kuwa tatizo sio mama kutompenda episodes kama anavyo fikiri, bali tatizo ni yeye mwenyewe episodes kujiona si mkamilifu kama nduguze.
 
mkuu mama yangu anatoka machame<br />
sipendi niongee sana hilo lakini kwa ujumla maisha ya baba na mama yalikuwa ni matatizo makubwa
<br />
<br />
wanawake wengi wa kutokea huko wanapend a sana maendeleo,ukiwa hauna maendeleo wanaona kama umefail maisha, ila kwa maelezo yako nahisi maisha yako ni ya kawaida,jitahidi kuwa na furaha na jikite kuafuta pesa na mchukulie mama yako kama changamoto
 
<b>The Boss<br />
</b>Sasa na wewe si ungenitafsiria wangu? Mambo kusaidiana! Au jamii hakuna team work????? Anyhow here we go....................<br />
<br />
Kwa mtazamo wangu, inawezekana kuwa tatizo sio mama kutompenda episodes kama anavyo fikiri, bali tatizo ni yeye mwenyewe episodes kujiona si mkamilifu kama nduguze.
<br />
<br />
Afadhali, nemo unatumiaga maneno magumu sana mie wakati mwingine naambulia patupu
 
mkuu mama yangu anatoka machame
sipendi niongee sana hilo lakini kwa ujumla maisha ya baba na mama yalikuwa ni matatizo makubwa

umeona sasa
hili ambalo hutaki kulizungumzia
ndio chanzo cha yote hayo.....
I was right....
Wewe machoni mwa mama yako
umem replace baba yako...
Kuna kitu hapo...
 
mkuu baba yangu hakuwa tajiri,tuliishi maisha ya kawaida kabisa,lakini waliweza kutulea kwa kweli jambo la kusema tulazimishe kupata mali mimi nipo kinyume kabisanaishi maisha ya kawaida nina nyumba,kazi na kausafiri,na nina watoto wangu wazuri sanajamani nifanye nini mimi ili niheshimike?
.Episodes kwanza pole sana kwa yote,hakuna utajiri mkubwa uliokuwa nao kama hiyo familia yako ikiwa ni pamoja na mama yako na nduguzo na watoto wako.Mama yako ni tunu kubwa sana ktk maisha yako,na kama huamini waangalie watoto wako,tafakari upendo wako kwa wanao,waza jinsi unavyo hangaika kwa ajili yao.Kimsingi hakuna mzazi anayechukia mtoto kiasi hicho na kama ni ndivyo,basi kuna kitu kinaitwa kusamehe,ukimsamehe mama yako utakuwa binafsi na amani,swala la mali,lisikukwaze.Tena hakuna kitu kizuri kama kumsamehe mama yako,utaona hata hayo maswala ya mali yatajitokeza tuu.Kama wewe ni mcha mungu,basi nakusihi ufanye toba,na umrejehe mungu wako akuondolee mawazo hayo potofu akupe amani,akuongezee upendo na utaona ufunuo,Pole sana,..........hakikikisha hupandi mbegu ya chuki hiyo au mawazo kwa wanao.....hakuna anayekwenda na mali popote pale,maisha yana mwisho,mpende mama yako kuwa naye karibu,...ukienda moshi.......kilimanjaro mpelekee na salamu pia kutoka kwangu.....mama yako juuuuu na wewe juuuuuu zaidi.wamama wote hoyeeeeeeeeeeeeee,...............
 
mkuu mama yangu anatoka machame<br />
sipendi niongee sana hilo lakini kwa ujumla maisha ya baba na mama yalikuwa ni matatizo makubwa
nina wasiwasi umekusudia ku-insult kabila la watu kwa kumtumia mama yako kama excuse...
 
wakuu nina tatizo nimekaa nalo muda mrefu sana moyoni mwangu'
tumezaliwa wanne kwenye familia yetu'
sisi ni wachaga na tumekulia na kulelewa na kusoma uchagani'
lakini kwa kadri tulivyokuwa tunaendelea na maisha niligundua mama yangu mzazi anamthamini mtoto mwenye mali peke yake'
baada ya kugundua hilo niliamua kunyamaza kimya japo nilikuwa na uchungu moyoni'
lakini hicho kitendo kilijidhiirisha hata kwa watu wanaotufahamu kijijini kwetu na ilileta matatizo makubwa'
kwa kweli kutoka moyoni mwangu nimejikuta simpendi kabisa mama yangu lakini bado namweshimu kama mzazi wangu'
nikienda nyumbani mara moja kwa mwaka sijisikii kabisa hata kukaa naye hata kwa dakika 10 inakuwa ngumu sana,
niliumia sana kwa kuwa mimi ndiye maskini kabisa na ndiye ambaye sipewi heshima kabisa
naombeni kujua kama kuna mtu mwenye matatizo kama haya na naombeni kujua kama kunaweza kutokea matatizo yoyote katika maisha yangu kwa hilo

nawakilisha.



Pole saana kujikuta katika hilo tatizo... yaani katika mapenzi ambayo ni
ya hakika kwa most wanadamu ni ya mama.... wee kutambua ni kinyume
naamini itakua imekuumiza... From maelezo yako nimependa for inaonesha bado
unampatia heshima yake inayostahili... IMO sioni kama kuna ushauri naweza kupa wa
jinsi gani ufanye mamako akupende... mana ni dhahiri ukiwa nacho ndo atakupenda
hivo umemtambua... naona mchukulie kua ni binadamu dhaifu, maana ni wazi hata uki
mwambia machungu yako... hayataleta uzito maana tayari anaona huna maana...

Pole saana, kweli ni mtihani.... Dah!
 
kwa kuwa wewe ni first born na wamama wanataka first born ndio aongoze
mapambano ya familia.....
Na kwa kuwa wewe unasema umeridhika na hali uliyonayo...

Its natural kwa mama yako kuwa dissapointed na wewe...
Yeye anaona umemuangusha kwa kukubali hali hiyo
na wewe unaona hakutendei haki....

Hapa nimekukubali mkuu..........
First born....mwanaume.........unalia machozi!??.........mwanaume kamili hutafuta ufumbuzi wa matatizo na si kulia
Umejiita masikini.......Umeridhika na hali uliyonayo!??.............yaani.....wewe si mlemavu......una akili timamu.....kwanini unashindwa kufight??
Fight ili uondokane na hali hiyo...ili uongeze thamani yako kama mwanaume.....uthaminiwe na jamii nzima....

simaanishi uibe lakini kwanini uridhike na umaskini??kwanini unaamini kwamba wewe uliumbwa uwe maskini???HAPA NDIO PENYE TATIZO!Fikra na mtazamo wako una walakini.............hebu fuatilia ushauri wa The Boss utapata mwanga fulani.
 
Msamehe na endelea kuhesha kadili inavyo stahili hasa kwa iamani kuwa Mungu alimtumia yeye kukuleta hapa duniani.Fanya kazi kwa bidii ukijali familia yako maana ndo nguzo yako kwa sasa mama hata kama hataki kuwa karibu nawewe acha awe karibu na wadogo zako.Kwa mawazo yng mimi naona wewe huna hatia hata kwa Mungu juu ya hilo vinginevyo kunajambo ulilomkosea na haukumuomba msamaha.
 
Da, Wakuu kweli nimeamini matatizo mengi ya kifamilia tanzania yapo kila mahali.

Story kama hizi ni kommon sana kwa familia za kanda ya kaskazini(samahani si kuwa ubaya).
Cha muhimu ignore hiyo hali, ridhika na maisha yako, na usijali, utaishi kwa furaha sana.
Cha muhimu, wajenge wanao wasikutwe na hali kama hii kwa kufanya yafuatayo na mengineyo.
1.Mtangulize mungu katika kila jambo
2.Tunza ndoa yako.
3.Wapatie wanao elimu bora.
4.Jenga maisha yako ya baadae.

Ni wazi dhiki na fedheha za utu uzima zitapotea.
 
Wanawake wa machame bana.....mpaka watoto hawawapendi kwa ulofa lol
Mkuu hao wanaua mpaka wanaume zao wa ndoa ili warithi mali na kuwa na mamlaka yote na mbaya zaidi ni pale unapokua kabila tofauti na yeye, anakuwa ana ku care mwanzo na kukusaidia sana ktk kazi na anakua hana matumiz ya anasa na always anakusihi u save mkwanja wa kutosha kumbe anakua amesha plan the future.
Anko wangu yalimkuta hayo, na hata wachaga wenzao hawathubutu kuoa machame coz wanaogopa!
Kwao mali ndo kila kitu.
 
Back
Top Bottom