The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,654
mkuu baba yangu hakuwa tajiri,tuliishi maisha ya kawaida kabisa,lakini waliweza kutulea
kwa kweli jambo la kusema tulazimishe kupata mali mimi nipo kinyume kabisa
naishi maisha ya kawaida nina nyumba,kazi na kausafiri,na nina watoto wangu wazuri sana
jamani nifanye nini mimi ili niheshimike?
mkuu hujajibu swali hapo
mama aliridhika na hali hiyo ya baba??????