EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kumbe wewe mdanganyika eh?ananidanganya afu namwamini, afu ananidanganya tena.
Anakaribia kuingia PM kabisa.
Sasa na wewe umeanza kuwa hivyo
tulikubaliana tuchakachue ile tenda afu sijui ukampa nani
lazima nicheze rafu hadi apate Mwali.
Tenda haichakachukuliwi.
Kama offer zetu hazikuwa attractive ndio hivyo tena imekula kwenu.