The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Jamani where are you nashida na wewe nime ku pm mtandao ukazingu wherever ur pm me please
Inbox yake imejam. we nitumie mimi nitamfikishia (in fact yuko hapa next to me anakusoma)
Unamjua kongosho wewe? Umeomba ruhusa kwake?
Usijesema hujaonywa!
Please, usimwambie chochotehebu mwacheni King wangu, niliuza ng'ombe wangu wote kwa ajili ya kampeni.
We najua hatudhuriani, maana nina namba ya naniliyu.
Hehehe! Si umwambie acopy kwa kongosho?pm zake huwa haziendi hadi ucopy kwa mtu fulani ndo zifike...pole wee
tafadhali, huyu sio Maufong.
Tulia kama unanyolewa, huyu ndo baba watoto wangu, baba yake Maufong.
Usije ukamgusa baba mkwe wako.
pm zake huwa haziendi hadi ucopy kwa mtu fulani ndo zifike...pole wee
Unamjua kongosho wewe? Umeomba ruhusa kwake?
Usijesema hujaonywa!
Hehehe! Haya bana!Jamani mi namtafuta Marc Antony wangu kwa mazuri sio mabaya halafu huyu ni boss mi ni secretary wake kuna makaratasi hajasaini basi kama ni baba yake Maufong na ni baba yangu pia. Mi ninaye YUWE
wangu
Hapa atajibu kongosho kwa ufasaha.Jamani mnanionea kongosho kule kwenye jf couple hakusema kama yeye na the Boss wameshasema I DO
Hehheeee anae mwanamwali wake...Hehehe! Si umwambie acopy kwa kongosho?
better warn her.
Amwulize Michelle kilichomkimbiza efu jei
alikosea akanigusa nisipoguswa.
Wanakuonea mwaya wasikutishie nyau...Jamani mnanionea kongosho kule kwenye jf couple hakusema kama yeye na the Boss wameshasema I DO
Huna pasiwedi yake?mwambie jamani
lazima PM zake lazima ziwe kea ofu me
tafadhali, huyu sio Maufong.
Tulia kama unanyolewa, huyu ndo baba watoto wangu, baba yake Maufong.
Usije ukamgusa baba mkwe wako.
Hapa atajibu kongosho kwa ufasaha.