Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,882
- 155,860
Duniani kuna mambo. Tuwakumbuke na wale walioko kwenye mazingirz magumu ki maisha, kikazi nk kwa maombi.
Maana maomboi hufungua vifungo mbalimbali vya yule muovu shetani.
Uteja ni kifungo, ni maombi pekee ndiyo silaha ya kumfanya teja akate hamu ya maunga yake na arudie kwenye maisha yaliyo manyoofu.
Maana maomboi hufungua vifungo mbalimbali vya yule muovu shetani.
Uteja ni kifungo, ni maombi pekee ndiyo silaha ya kumfanya teja akate hamu ya maunga yake na arudie kwenye maisha yaliyo manyoofu.