Namsikitikia, He was my boyfriend

Hahahahaaaa, JF ni rahaaa...
Dada Nazjaz ana historia ya kutuletea story za uongo.
Refer: story ya mvaa hirizi.
JF ni kijiwe na it deserve story za vijiweni, if you will think perfectly you will find that there is no body who expose his or her inner life in social networks, tunaafanyaga ili muda uende na stress zipungua
 
JF ni kijiwe na it deserve story za vijiweni, if you will think perfectly you will find that there is no body who expose his or her inner life in social networks, tunaafanyaga ili muda uende na stress zipungua

Whatt? So u mean watu wanamaliza mb kwa fake stories; moron!!
 
Whatt? So u mean watu wanamaliza mb kwa fake stories; moron!!

Hahaha...ina maana ulikuwa hujui?

Na kuna wakati mwingine unakazana kumshauri mtu ukidhani ni mwanaume, kumbe ni mwanamke na akakuchora tu...
 
Hahaha...ina maana ulikuwa hujui?

Na kuna wakati mwingine unakazana kumshauri mtu ukidhani ni mwanaume, kumbe ni mwanamke na akakuchora tu...

Mkuu yani huo ni upumbafu kbs, watu wanazama kwenye journals kusaka ref kwa ushenzi huu? Sikuwahi jua km watu wanaeza kuwa na akili pungu1 hivi
 
Hahaha...ina maana ulikuwa hujui?

Na kuna wakati mwingine unakazana kumshauri mtu ukidhani ni mwanaume, kumbe ni mwanamke na akakuchora tu...
ahaahah ha, mkuu watake radhi waendao haja kwa kuchuchumaa. ina maana ke, ndio hawashauriki???
 
Angalia mbele , ukiangalia yaliopita na kuyafatilia unaweza kuanguka tena. Si vibaya kufanya wema , lakini kuna hatari sana kuwa unaweza kujinasa kwenye janga.
 
nice story, jamaa hii ndio destiny yake. sio kila abukuae darasani anakuja kupeta kimaisha. wako watu wengi waliondoka na zero shuleni tena form foo leo wanamiliki maduka makubwa na biashara kibao, kuliko hata wanaomaliza chuo kikuu. mapenzi yenu shuleni yalikuwa yakitoto tu. wala hayahusiani na hatma yake. infact mkono mtupu haulambwi. wewe ulimpendea akili zake sawa na hao wenzako waliokupora. wapo walio wengi wenye akili za darasani lakini za maisha wanakuwa makanjanja kabisa yaani hamna kitu . maisha halisi sio swala la kupata 'A' darasani.. acha upuuzi, temana naye huyo teja, hiyo imebaki historia .
 
maana kila ushauri una positives na negatives zake. Lakini naamini mwishoni ntapata neno jema, maana penye wengi hapaharibiki kitu[/QUOTEmsaidie kwa kumpeleka kwenye vituo vya kusaidia mateja na atakapo rudi kwenye hali yake msaidie pia kuendelea na masomo.
 
Msaidie umpeleke sober house hapo kigamboni. Gharama ni laki 2 tu kwa mwezi. Baada ya miezi 4 atakuwa bomba saana.
 
attention seeking disorder (ASD)

there is no treatment for such diseases at the moment, researches suggest that frequent sex may be useful, alcohol exacerbate the problem especially when the subject is horny and didnt get boned!!
Mbona havihusiani na uzi huu, au ingilishi yangu ya 'mimi ni maimuna"?
ok, naanza ingilishi kozi na mimi.
 
Back
Top Bottom