TabletFellow
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 918
- 272
You figure it out.
kwikwikwi...... bado unauza??:A S 13:
You figure it out.
Shida huleta maarifa tena...Kuwahi kiti na kuwauzia wenye kukihitaji nao ni ubunifu wa hali ya juu, inahitaji uwe sayantist kufikiri hiyvo.
Ndiyo kwanza leo niyajuwe hayo, Tanzania tuna ma great thinkers wengi tu.
Yah great myopic thinkersKuwahi kiti na kuwauzia wenye kukihitaji nao ni ubunifu wa hali ya juu, inahitaji uwe sayantist kufikiri hiyvo.
Ndiyo kwanza leo niyajuwe hayo, Tanzania tuna ma great thinkers wengi tu.
Nazjaz ....Ni kweli kabisa lakini mwisho wa siku ni wewe mwenyewe ndiye unayetakiwa kuchukua hatua!Hamna kazi ngumu kama kuchambua ushauri wa watu mbalimbali.
Dah so sad!!!!!!!!
Hapa kuna Uwongo Div 1 ya point 4 asingeweza poteza uelekeo kiasi hicho....wewe ni mtunzi mzuri wa riwaya...Shingongo lazima atakupa kazi kwenye magazeti yake
a friend in need is a friend indeed....
Sasa kama huwezi kumsaidia kwenye matatizo wewe utakuwa na faida gani kwake, kumbuka mlipendana before....