Nampenda sana huyu dada wa jF.

Nampenda sana huyu dada wa jF.

Milionea wa kesho tafuta hela mdg wangu! hakuna siri zaidi ya hiyo..ukiwa na hela haya uzi km huu huwez andika kbs🙌🙌!.. mie niliwah kesha MMU sikuwah kuona faida kwakwel..achana na nyuz za hiv mdg wangu unajipotezea muda wa kuwa milionea...!
Asante kunipenda..nimeolewa dadako hapa!
sio geneius hata kidg mm..niliwah kosea maishan sasa nimejifunza maisha kwa njiangumu kidg😶!
Sasa natambua maisha ni nn...! sina akili hizo aisee..!ila nabarikiwa ninachogusa kinakuwa!

karibu
 
Kazi kwako sasa,sisi mashemeji wa JF tupo tayari kwa lolote utakaloamua 😅

😅😅😅 Ni km vile lAdies mmeenda bar mnataka kunywa kivyenu vyenu..anatokea men anakaa pale😂😂 automatic anaharibu sana pose na mood😂😂..km ww sio mnywaj huwez nielewa hii concept😅😅!

Ni mfanano mzuri sana wa huu uzi..Ameharibu saaaaana sana! ntashindwa kupata "madanger" mie💃💃💃!
madanga" my futi"
 
Milionea wa kesho tafuta hela mdg wangu! hakuna siri zaidi ya hiyo..ukiwa na hela haya uzi km huu huwez andika kbs🙌🙌!.. mie niliwah kesha MMU sikuwah kuona faida kwakwel..achana na nyuz za hiv mdg wangu unajipotezea muda wa kuwa milionea...!
Asante kunipenda..nimeolewa dadako hapa!
sio geneius hata kidg mm..niliwah kosea maishan sasa nimejifunza maisha kwa njiangumu kidg😶!
Sasa natambua maisha ni nn...! sina akili hizo aisee..!ila nabarikiwa ninachogusa kinakuwa!

karibu
Acha uchoyo,dogo kasema hata kama hauna chura yeye amekupenda bana.
 
Kwamba nijiandikie mwenyew😂😂 ...jaman am aged enuf...sio rika lenu la kuruka ruka..lol!
Hatukuwa na maana hio. Tunakumbushana comments maarufu kulingana na Uzi. Ukitoa Uzi fulani lazima uzione hizo comments. Uzi kama huu ni hio comment aliosema hazard cfc . Au umileta uzi labda gari imekusumbua utasikia 'tushajua una gari' au ukiulizia tiles utasikia 'tushajua unajenga' ndio JF yetu hio
 
Ungeniona dk hii nilivyojaa vumbi[emoji23][emoji23] ni maji ndoo 3 kbs na omo juu..

Mwenzako sasa anataka mwanmke mpambanaji ili ale starehe [emoji23][emoji23][emoji23] wanawake tunasema kakwamaaa
 
😅😅😅 Ni km vile lAdies mmeenda bar mnataka kunywa kivyenu vyenu..anatokea men anakaa pale😂😂 automatic anaharibu sana pose na mood😂😂..km ww sio mnywaj huwez nielewa hii concept😅😅!

Ni mfanano mzuri sana wa huu uzi..Ameharibu saaaaana sana! ntashindwa kupata "madanger" mie💃💃💃!
madanga" my futi"

Sio mnywaji lakini nimepata picha ya anavyoharibu mood😅😅

Mkatae basi hapa halafu kamkubali kule PM ili madanga wasielewe 😂😂
 
Sio mnywaji lakini nimepata picha ya anavyoharibu mood😅😅

Mkatae basi hapa halafu kamkubali kule PM ili madanga wasielewe 😂😂

😂😂😂😂...! simfai...! huyu atakuwa ananipa habari za kubet mara simba mara yanga...! mie nawaza mengine "kuhila"
 
manengelo sikushauri kukubali ombi hili, siku hizi uko siasani na unatema cheche plz bado tunakuhitaji usithubutu
Ni manengelo

Anaonekana genius sana na mchakarikaji. Ana akili ya kutafuta pesa. Ni mtu mjanja sana.

Sasa huyu dada/mama namkubali sana.


Kama hajaolewa, aisee nitafanya kila liwezekanalo nimuoe. Ila kama ameolewa basi mume wake anafaidi sana. Kuwa na mke kama huyu ni raha sana hata kama hana chura.

Ombi langu kwake, naomba awe rafiki yangu tuwe tunachati na ikiwezekana baadae tufike mbali zaidi. Nimekuja hapa sababu nilimfata PM akaniambia you may not start conversation with the following recipient manengelo

Namwomba anitazame kwa jicho la husuda.

Niko timamu na akili zangu ila kusema ukweli huyu dada namzimia
 
Back
Top Bottom