Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,088
- 72,505
Hatukuwa na maana hio. Tunakumbushana comments maarufu kulingana na Uzi. Ukitoa Uzi fulani lazima uzione hizo comments. Uzi kama huu ni hio comment aliosema hazard cfc . Au umileta uzi labda gari imekusumbua utasikia 'tushajua una gari' au ukiulizia tiles utasikia 'tushajua unajenga' ndio JF yetu hio
Nakumbuka kuna siku ulisimulia kisa flan kuhusu mtoto baadae katika story ulisema unapaki gari basi bana ukasema jamani najua watu mtatokwa povu kisa nimesema gari nilicheka sana