Nampenda sana huyu dada wa jF.

Nampenda sana huyu dada wa jF.

Nimepokea kwa mshtuko mdogo kitendo cha ombi langu kukataliwa sambamba na masimango ya wanazengo humu.

Wapo wamenibeza kwamba huenda manengelo ni dume la mbegu.

Wapo wamenibeza kwamba sina hela nataka kulelewa na manengelo.


Itoshe tu kuwaambia kuwa ni kweli huyu binti nampenda. napenda comments na posts zake. In short namkubali. Lakini sio kimapenzi. Siwezi kumpenda nisiyemjua na wala sijawahi kumwona. Haiwezekani kabisa.

Huu uzi ni uzi wa taarifa kuwa nampenda. Na kama niliandika nampenda kimapenzi ni ile kunogesha uzi.
Teh ....

Acha swaga kijana
 
Kukataliwa kubaya mno, hata mimi Mane alinipiga cha mbavu wakati fulani [emoji23][emoji23][emoji23] ila nilipoona majeraha.[emoji39]
 
Am taken! kazana uwe milionea kweli.. ! see u at the top [emoji4]!amka kumekucha!
Sawa my future wife. Nitasubiri huenda utaachwa. Jimbo likiwa wazi tu usisite kunijulisha.

Bado asubuhi sana kuongelea mambo haya. Nitarudi jioni.

Good day!
 
Duhh aise. ....

Hivi huu ujasiri wa kuwaandikiaga gals uzi humu huwa Wana utoa wapi hawa vijana
Milionea wa kesho tafuta hela mdg wangu! hakuna siri zaidi ya hiyo..ukiwa na hela haya uzi km huu huwez andika kbs[emoji119][emoji119]!.. mie niliwah kesha MMU sikuwah kuona faida kwakwel..achana na nyuz za hiv mdg wangu unajipotezea muda wa kuwa milionea...!
Asante kunipenda..nimeolewa dadako hapa!
sio geneius hata kidg mm..niliwah kosea maishan sasa nimejifunza maisha kwa njiangumu kidg[emoji55]!
Sasa natambua maisha ni nn...! sina akili hizo aisee..!ila nabarikiwa ninachogusa kinakuwa!

karibu
 
I phone X ndio nini huna kiwanja huna gari uko kwenye kidaladala eti phone x unayo ish hii ni akili maji.
 
Duhh aise. ....

Hivi huu ujasiri wa kuwaandikiaga gals uzi humu huwa Wana utoa wapi hawa vijana
Mie naona kawaida..ni km wanaume wanaotongoza mwanamke usk hata hamuon vzr..!au wanaotongoza hovyohovyo..!ndo nature yenu...ni km sie tunavyojidanganya kila mwenyr gari ana hela au kila anayeendesha gari ni lake😊
 
Malizia kwamba ni kama ambavyo watanzania tunavyo Dhani kwamba kila mzungu ana hela
Mie naona kawaida..ni km wanaume wanaotongoza mwanamke usk hata hamuon vzr..!au wanaotongoza hovyohovyo..!ndo nature yenu...ni km sie tunavyojidanganya kila mwenyr gari ana hela au kila anayeendesha gari ni lake[emoji4]
 
Back
Top Bottom