milionea wa kesho
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 328
- 633
Ni manengelo
Anaonekana genius sana na mchakarikaji. Ana akili ya kutafuta pesa. Ni mtu mjanja sana.
Sasa huyu dada/mama namkubali sana.
Kama hajaolewa, aisee nitafanya kila liwezekanalo nimuoe. Ila kama ameolewa basi mume wake anafaidi sana. Kuwa na mke kama huyu ni raha sana hata kama hana chura.
Ombi langu kwake, naomba awe rafiki yangu tuwe tunachati na ikiwezekana baadae tufike mbali zaidi. Nimekuja hapa sababu nilimfata PM akaniambia you may not start conversation with the following recipient manengelo
Namwomba anitazame kwa jicho la husuda.
Niko timamu na akili zangu ila kusema ukweli huyu dada namzimia
Anaonekana genius sana na mchakarikaji. Ana akili ya kutafuta pesa. Ni mtu mjanja sana.
Sasa huyu dada/mama namkubali sana.
Kama hajaolewa, aisee nitafanya kila liwezekanalo nimuoe. Ila kama ameolewa basi mume wake anafaidi sana. Kuwa na mke kama huyu ni raha sana hata kama hana chura.
Ombi langu kwake, naomba awe rafiki yangu tuwe tunachati na ikiwezekana baadae tufike mbali zaidi. Nimekuja hapa sababu nilimfata PM akaniambia you may not start conversation with the following recipient manengelo
Namwomba anitazame kwa jicho la husuda.
Niko timamu na akili zangu ila kusema ukweli huyu dada namzimia