Nampenda sana huyu dada wa jF.

Nampenda sana huyu dada wa jF.

Ni manengelo

Anaonekana genius sana na mchakarikaji. Ana akili ya kutafuta pesa. Ni mtu mjanja sana.

Sasa huyu dada/mama namkubali sana.


Kama hajaolewa, aisee nitafanya kila liwezekanalo nimuoe. Ila kama ameolewa basi mume wake anafaidi sana. Kuwa na mke kama huyu ni raha sana hata kama hana chura.

Ombi langu kwake, naomba awe rafiki yangu tuwe tunachati na ikiwezekana baadae tufike mbali zaidi. Nimekuja hapa sababu nilimfata PM akaniambia you may not start conversation with the following recipient manengelo

Namwomba anitazame kwa jicho la husuda.

Niko timamu na akili zangu ila kusema ukweli huyu dada namzimia

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkuu ukute huyo manengelo ni jibaba, Mzee wa kazi, Daluweshi ana udevu wa hatari halafu mbavu. nimewaza tu
 
Ni manengelo

Anaonekana genius sana na mchakarikaji. Ana akili ya kutafuta pesa. Ni mtu mjanja sana.

Sasa huyu dada/mama namkubali sana.


Kama hajaolewa, aisee nitafanya kila liwezekanalo nimuoe. Ila kama ameolewa basi mume wake anafaidi sana. Kuwa na mke kama huyu ni raha sana hata kama hana chura.

Ombi langu kwake, naomba awe rafiki yangu tuwe tunachati na ikiwezekana baadae tufike mbali zaidi. Nimekuja hapa sababu nilimfata PM akaniambia you may not start conversation with the following recipient manengelo

Namwomba anitazame kwa jicho la husuda.

Niko timamu na akili zangu ila kusema ukweli huyu dada namzimia
Wewe watu wa nyuma keyboard unawapenda kivipi?
 
Wenye bahati zao hao,sio mpaka uandike "Natafute mume wa maisha", hii ni automatic,na pia ni fundisho kwa wengine kuwa hekima yako kwenye posts zako inaweza kukufungulia njia zako zilizofungwa...
 
Back
Top Bottom