Nampenda sana huyu dada wa jF.

Nampenda sana huyu dada wa jF.

Hapa kama uko serious unaweza kutengeneza picha ya haiba ya mtu kwa zaidi ya 70% kuwa sahihi, kusanya post na comment zake za mwaka mzima, bila kujari ni jukwaa gani zichakate zitakupa picha tu huyo ni nani.

Kuwa muongo muda wote ni kazi jamani
 
[emoji41]
FB_IMG_1562060893549.jpeg
 
Lazima uwe huna kazi ya kufanya
Mtaka cha uvunguni...... hapo, ni kama kujitoa mhanga kama wazee wetu walivyokatiza misitu yenye simba usiku wa manane kwenda kunyemelea binti kijiji cha jirani na hatari ya kukoswakoswa na mishale. Lazima ilipie ghalama ya muda na unaweza usifanikiwe by the time una profile kamili wenzako walishawahi.

Labda kwa sasa utimie tools za data mining and processing. Ndio trick nasikia team Trump waliitumia kuwajua wapiga kura, na kuweka mkakati wa eneo husika. Nafikiri inaweza tumika hata kupata mwenza kwa kumjua kabla kama anafaa ama vipi.
 
Back
Top Bottom