Nampenda sana huyu dada wa jF.

Nampenda sana huyu dada wa jF.

Nimepokea kwa mshtuko mdogo kitendo cha ombi langu kukataliwa sambamba na masimango ya wanazengo humu.

Wapo wamenibeza kwamba huenda manengelo ni dume la mbegu.

Wapo wamenibeza kwamba sina hela nataka kulelewa na manengelo.


Itoshe tu kuwaambia kuwa ni kweli huyu binti nampenda. napenda comments na posts zake. In short namkubali. Lakini sio kimapenzi. Siwezi kumpenda nisiyemjua na wala sijawahi kumwona. Haiwezekani kabisa.

Huu uzi ni uzi wa taarifa kuwa nampenda. Na kama niliandika nampenda kimapenzi ni ile kunogesha uzi.
 
Nimepokea kwa mshtuko mdogo kitendo cha ombi langu kukataliwa sambamba na masimango ya wanazengo humu.

Wapo wamenibeza kwamba huenda manengelo ni dume la mbegu.

Wapo wamenibeza kwamba sina hela nataka kulelewa na manengelo.


Itoshe tu kuwaambia kuwa ni kweli huyu binti nampenda. napenda comments na posts zake. In short namkubali. Lakini sio kimapenzi. Siwezi kumpenda nisiyemjua na wala sijawahi kumwona. Haiwezekani kabisa.

Huu uzi ni uzi wa taarifa kuwa nampenda. Na kama niliandika nampenda kimapenzi ni ile kunogesha uzi.

Ukipigwa chagga ndiyo inavyokuwa unatafuta kichaka cha kujificha, pole sana kupigwa cha mbavu kunauma

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unataka kutuaminisha umenogesha uzi Pole Mkuu haya mambo yapo Tu
 
Naona umekuja na hii analysis baada ya kupewa za Uso

Sizitaki mbichi hizi. ... manengelo @zeshcriss msiwafanyie hivi vijana wa watu aise. .mtatoboa mioyo yao
Nimepokea kwa mshtuko mdogo kitendo cha ombi langu kukataliwa sambamba na masimango ya wanazengo humu.

Wapo wamenibeza kwamba huenda manengelo ni dume la mbegu.

Wapo wamenibeza kwamba sina hela nataka kulelewa na manengelo.


Itoshe tu kuwaambia kuwa ni kweli huyu binti nampenda. napenda comments na posts zake. In short namkubali. Lakini sio kimapenzi. Siwezi kumpenda nisiyemjua na wala sijawahi kumwona. Haiwezekani kabisa.

Huu uzi ni uzi wa taarifa kuwa nampenda. Na kama niliandika nampenda kimapenzi ni ile kunogesha uzi.
 
Hahaha hahahahahshs jamaa ametafuta kivuli cha kujicha
Ukipigwa chagga ndiyo inavyokuwa unatafuta kichaka cha kujificha, pole sana kupigwa cha mbavu kunauma

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unataka kutuaminisha umenogesha uzi Pole Mkuu haya mambo yapo Tu
 
Duh kanipiga cha mbavu fresh tu hata sijaumia kivile.

Sijui kwann umefurah mm kukataliwa. Unafaidikaje na rejection hii? au ndo upo kwenye hatua za ukuaji wa uchawi unaelekea kuwa mchawi kamili
Rejection Always Hurts

Bora hata usingetokea hapa kuliko ulivyo mpiga cha mbavu hadharani, lazima aumie

Japo binafsi nimefurahi ulivyomtolea nje [emoji41][emoji41]
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nimepokea kwa mshtuko mdogo kitendo cha ombi langu kukataliwa sambamba na masimango ya wanazengo humu.

Wapo wamenibeza kwamba huenda manengelo ni dume la mbegu.

Wapo wamenibeza kwamba sina hela nataka kulelewa na manengelo.


Itoshe tu kuwaambia kuwa ni kweli huyu binti nampenda. napenda comments na posts zake. In short namkubali. Lakini sio kimapenzi. Siwezi kumpenda nisiyemjua na wala sijawahi kumwona. Haiwezekani kabisa.

Huu uzi ni uzi wa taarifa kuwa nampenda. Na kama niliandika nampenda kimapenzi ni ile kunogesha uzi.
Pole bhana!
 
Back
Top Bottom