Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,162
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka mtelezo ushachelewa [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka mtelezo ushachelewa [emoji23]
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatua za kufanya
1. Mtumie laki tisa mpesa bila pesa ya kutolea
2. Mwite geto mpatie 20,000 pesa ya kutolea
3. Jitoe jamii forum
4. Fanya mazoezi na zingatia matumizi sahihi ya dawa za kuongeza siku
5. Juta na elimisha watu waache uzinzi
Umeanza lini?
Miss u moree aggy...Babe miss you [emoji7] [emoji3059]
Kule mama siwezi kusema hapa.Wapi tena trouble mbona wanipa mitihani mtoto wa mwanaume mwenzio mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna wakati hiki kinaweza kuwa kijiwe cha jobless kwa baadhi yetu. Unaanzaje "kuchakata" posts na messages za mwaka mzima ili umjue...Lazima uwe huna kazi ya kufanya
We acha tuKuna wakati hiki kinaweza kuwa kijiwe cha jobless kwa baadhi yetu. Unaanzaje "kuchakata" posts na messages za mwaka mzima ili umjue...
Kaona zile mada za machimbo kaona kapata [emoji23][emoji23]
Kule mama siwezi kusema hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We muache tu... Na ndicho kilichomwandikisha huu uzi hana lolote
Atafute pesa tu
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23] kakwamaa
Ile ya...naona umekuja na id nyingine kujipa promo??
Huenda mkuu
Kaona zile mada za machimbo kaona kapata [emoji23][emoji23]
Umesoma tulichokua tunamaanisha lakini?Mie sina hata muda mchafu kuwa na id 2 mkuu...! huo muda naupata wap..toka saa3 usk ndo naingia jf[emoji57]
Hadi umeweka picha yake 😅😅
manengelo mama kuna mtu kakufia huku,japo kuna watu hawatamuelewa muanzisha uzi
Umesoma tulichokua tunamaanisha lakini?
Kazi kwako sasa,sisi mashemeji wa JF tupo tayari kwa lolote utakaloamua 😅aliweka jana sa3 hv..nikashangaa sana..lol..!napendwaje sasa mie