nampenda rafiki yangu mpaka naogopa

nampenda rafiki yangu mpaka naogopa

...na mimi naogopa jinsi unavyompenda mpaka unadata,alafu huo utangulizi wa "nimesoma shule ya girls only" unanipa maswali mengi sana, funguka kidogo tukusaidie ...

Eeh bwana wee kumbe na wewe umestukia🙂
 
Subir muda uende kidogo then mtafute face to face atakuelewa tu.ukishindwa mtumie mtu wa karibu nae aseme nae/nany'.friends 4 ever,.am out
 
watu wa siasani hamuwezi kupewa like kwa kuwa kule ni maudhi full time
ukataka hiyo kitu come this way
utapata hadi uzikimbie.

Njia za kutafuta Likes kumbe ni nyingi hivi!!
 
Duh!Pole sana, hebu nipe namba ya simu ya huyo rafiki yako? Ana umri gani?
 
Huwa sipendi marafiki wa aina yako! Yaani kila siku drama na kusutana. Si ajabu alikuwa anakuvizia tu ili mpingulue urafiki. Mi napenda rafiki bhange kama Kongosho. Ukifanya kitu cha ajabu anashangalia tumboni.

Cc sweetlady hebu nisake nataka nikuambie kitu. Nipigieeeee
 
Last edited by a moderator:
Huu urafiki baina ya jinsia moja na kutumiana meseji emotional umeanza lini??

Tena mie siku hizi nashangalia uvunguni mwa tumbo usije wala ukahisi

Huwa sipendi marafiki wa aina yako! Yaani kila siku drama na kusutana. Si ajabu alikuwa anakuvizia tu ili mpingulue urafiki. Mi napenda rafiki bhange kama Kongosho. Ukifanya kitu cha ajabu anashangalia tumboni.

Cc sweetlady hebu nisake nataka nikuambie kitu. Nipigieeeee
 
Hahahaha.
Yaani unakuwa na shosti afu mara 'you have really hurt me. Hujanipigia simu toka asubuhi'.

Huku drama za Paw. Na wewe uniongezee! Si tutauana na stress? Kha!
Huu urafiki baina ya jinsia moja na kutumiana meseji emotional umeanza lini??

Tena mie siku hizi nashangalia uvunguni mwa tumbo usije wala ukahisi
 
Achana nae bhana me cna mtu kama vp 2onyeshane mahusiano ya ukweli call 0657474814
tehee....teheee...... uko fasta kweli ujirani nyumba arobaini kila upande safi sana.
 
...na mimi naogopa jinsi unavyompenda mpaka unadata,alafu huo utangulizi wa "nimesoma shule ya girls only" unanipa maswali mengi sana, funguka kidogo tukusaidie ...


Mkuu hapo pananipa mashaka na miye, nilifikiri she ili apewe tulizo la ki she kumbe ni he. Dah, sasa ilikuwaje ukasoma shule za gals pekee?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom