- Thread starter
- #41
afu hutu tumwandiko kama twakule mahalaa.....ushanfaham???
twawap tena jmni mysteryman??
afu hutu tumwandiko kama twakule mahalaa.....ushanfaham???
kitu kingine ukitaka kumention mtu ukianza na @ ikifuatiwa na username ya mtu. mfano @ylmdiv a ambayo inatokea hivi ylmDiva. miammhh...haya figga
mwe mwe mwee...mh!!
nilipoingia 4m 5 nimesoma shule ya girls only...nilimpenda rafiki yangu mmoja sanaaaa kuliko wote...nilimpa zawadi nyingi hata wakati wa likizo nilikuwa namtembelea kwao..nilimpenda sana...kila tukigombana tunasameheana.juzi aliniboa kidogo nikamtumia sms za hasira za kwamba cmpendi tena amen ila badaae hasira zilipoisha nkajikuta nalia sana kumpoteza rafik yangu nilimuomba msamaha ila hakunijibu bkoz sms nilizomtumia zilikuwa mnbaya sana...bado nampenda rafikitoka na hatuwezi kuwa marafiki tena!
https://www.jamiiforums.com/login.php?do=login
Sasa sisi tukusaidie kitu gani?
asante kwa kunielewa mkuu. miafigganigga....sawa mkubwaaa..nimeelewa
hahahahaaa....!!! mkuu tuwasamehe bure coz mwanzo mgumu. miafigganigga kwanini usiwaambie hawo watoto wasitujazie server zetu na mipovu