https://www.jamiiforums.com/login.php?do=login
Hapa kuna nini......uzee huu......naona unanijia vibaya......
20yrs...
Endelea kumuomba msamaha na pia uache kukurupuka mnapoudhiana na kumtumia "sms za hasira". Uwe unasubiri hasira ziishe ndio muwasiliane tena.
pengine watakuja tena.