Nampenda mke wangu mtarajiwa (Picha)

Nampenda mke wangu mtarajiwa (Picha)

...mmmh hizo embe sindano jamani tunatafutiana matatizo tu aaaaghhh...!!!
 
mbona rangi ya uso na mikono hazifanani???
 
Hongera sana secrete kwa hatua uliyofikia ni ya kupigiwa mfano na watu wote. Mkeo inaonekana ni mtulivu na mwenye tabasamu la bashasha. Umecagua e rembo haswaa japo vipodozi vimezid[/QUOTEmkuu ujumbe wako umeuweka katika hali ya ulimbwende sana yani umeanza na sifa ukamalizia na ujumbe safi sana
 
Mzuie kujichubua shemu basi.Na wewe nawe kama limbukeni utamuanikaje mkeo kwenye mitandao ya kijamii? Inaelekea una hali ya ki TOTO bado hukutosha kuoa.Nasema hivyo kwa sababu anaweza akapatikana mtu ambae alishawahi kumpiga Pu.mbu akamtaja na jina na mahali anapokaa ukasitisha harakati za ndoa.

ur very right kijana hajakomaa kabisa we unamuanikaje mkeo humu kwenye kila aina ya fujo? Imagin kila mtu anadownload hiyo picha kwenye simu yake lengo amuone tu mrembo anabaki nayo kwa mda gani hujui. Wengine wataitumia hata kupigia puchu
 
sasa unaoa ili iweje wkt una akili za
kitoto bado...utamuanikaje mkeo namna hii?
 
Mke wa kaka yangu (jina kapuni) ananitaka nimtimizie haja zake kimapenzi. Maana anadai bro ameendekeza ulevi sana hata hana hamu nae.

Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi. Hata ikitokea broo amekufa mimi ndio nitamrithi shemeji kama mumewe.

Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.

Mleta uzi vipi bado unaendelea na "shemeji" yako?

Kwa hiyo unampenda mkeo na huku uko na mke wa kaka yako?....
 
ur very right kijana hajakomaa kabisa we unamuanikaje mkeo humu kwenye kila aina ya fujo? Imagin kila mtu anadownload hiyo picha kwenye simu yake lengo amuone tu mrembo anabaki nayo kwa mda gani hujui. Wengine wataitumia hata kupigia puchu

sasa unaoa ili iweje wkt una akili za
kitoto bado...utamuanikaje mkeo namna hii?

Wakuu , msipate tabu na huyu hebu someni uzi wake wa nyuma kidogo hapa chini.....mtaelewa huyu ni wa aina gani.
Mke wa kaka yangu (jina kapuni) ananitaka nimtimizie haja zake kimapenzi. Maana anadai bro ameendekeza ulevi sana hata hana hamu nae.

Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi. Hata ikitokea broo amekufa mimi ndio nitamrithi shemeji kama mumewe.

Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.

"Kwa hisani ya JF hansard"
 
Aisee umeamsha genye zetu badala ya kuwaza kazi tunaanza kuwaza ngono sasa huyo dada mwenye njano ana kijungu kizuri balaa! unaweza twanga pale mpaka ukachanganyikiwa, ni mdada mzuri .........!
 
UKIWA KAMA MWANA JF UMEGUNDUA NN KATIKA HII PICHA?

attachment.php
 
Ama kweli siku ya harusi ndo mtu utagundua umechemka, cheki huyo mwenye njano alivyotulia!! chuchu saa sita.
 
Back
Top Bottom