Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,385
Aliempaka makeup ana wivu jamanii Evelyn Salt, BADILI TABIA
ha ha ha mpambaji ana gubu
Last edited by a moderator:
Aliempaka makeup ana wivu jamanii Evelyn Salt, BADILI TABIA
mkuu mpododo....?:embarrassed1:
Wanawake wasaliti ukiangalia tu unawaona wala huhitaji degree ya rocket science.
huyu mdada kama kadada Fulani ka Dodoma.
jina nimemsahau kama ni yeye hongera.
Mzuie kujichubua shemu
basi.Na wewe nawe kama limbukeni utamuanikaje mkeo kwenye mitandao ya
kijamii? Inaelekea una hali ya ki TOTO bado hukutosha kuoa.Nasema hivyo
kwa sababu anaweza akapatikana mtu ambae alishawahi kumpiga Pu.mbu
akamtaja na jina na mahali anapokaa ukasitisha harakati za ndoa.
Kweli kuna wengine tunatazama lakini hatuoni..mkuu mi nimeangalia hiyo pic ila sikuona hizo neema za allah kwa huyo dada...comment yako imenifanya nirudie kutazama tena..kana mpododo mzuri
Mzuie kujichubua shemu basi.Na wewe nawe kama limbukeni utamuanikaje mkeo kwenye mitandao ya kijamii? Inaelekea una hali ya ki TOTO bado hukutosha kuoa.Nasema hivyo kwa sababu anaweza akapatikana mtu ambae alishawahi kumpiga Pu.mbu akamtaja na jina na mahali anapokaa ukasitisha harakati za ndoa.
Anaitwa mariam anakaa Dodoma mitaa ya chang'ombe
Hako kabinti kenye gauni la njano mambo yake ya nyuma si haba yakheee!!!
Basi usiende mbali zaidi..funika kombe!
Kaka Jambazi, namba ukipata nami uniambie...Mkuu nitupie namba pm za huyo mwenye njano.