milioni milioni
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,845
- 1,064
Mtoto ana kijungu matata!
Inshallah karibuni sasa nitapata MKE wa maisha yangu jana tumekamilisha taratibu za SEND OFF na sasa tunaelekea kwenye harusi. TAKBIIIIR.
Hongera,Mkeo mlimbwende lakini hizo makeup duh kwanza foundation/poda haiendani na ngozi yake.Yaani wamemuharibu wallah!!
Hongera,Mkeo mlimbwende lakini hizo makeup duh kwanza foundation/poda haiendani na ngozi yake.Yaani wamemuharibu wallah!!
Mzuie kujichubua shemu basi.Na wewe nawe kama limbukeni utamuanikaje mkeo kwenye mitandao ya kijamii? Inaelekea una hali ya ki TOTO bado hukutosha kuoa.Nasema hivyo kwa sababu anaweza akapatikana mtu ambae alishawahi kumpiga Pu.mbu akamtaja na jina na mahali anapokaa ukasitisha harakati za ndoa.
Inshallah karibuni sasa nitapata MKE wa maisha yangu jana tumekamilisha taratibu za SEND OFF na sasa tunaelekea kwenye harusi. TAKBIIIIR.