Nampenda huyu Mume

Nampenda huyu Mume

Unajua nyie watu siku hizi mnapenda ndoa za maonesho. Hamtaki watu wafupi hasa wanaume wafupi eti kisa watakuonaje ukitembea naye....tunaaminishwa mwanamke awe na figure fulani.

Tungekuwa tunaowana kwa kuangalia moyo wa upendo dunia ingekuwa mahali salama zaidi kuishi.
 
Wala sikumaanisha hivyo, nilimaanisha nampenda jinsi anavyomkubali mkewe, na pia kuhusiana na mtazamo wa huyo dada. Kwa jinsi alivyo hakutegemea mume wake angempenda na kuendelea kuwa nae, ukizingatia mume mwenyewe ni very good looking
Dada, ndoa is more than just muonekano wa wanandoa.
Nilichogundua, kama ambavyo inaonekana wanaume wafupi wana inferiority complex kwa wadada warefu ndivyo wanawake wenye shape mbaya wanavyojiona mbele za wanaume.
 
Huyu jamaa naye mzembe. Anamwachaje mkewe awe picha ya michelin wakati yeye ni six pack?
 
Kwani huyu mwanaume anavutia nini?

Is this even a question?!!

Huyu jamaa naye mzembe. Anamwachaje mkewe awe picha ya michelin wakati yeye ni six pack?


Mkuu kuna bodies nyingine zikifika mahali kwa uzito, zinakuwa si rahisi kubadilika tena. Huyu kaka anavyoonyesha kuwa ni mtu wa mazoezi, sidhani alishindwa kabisa kumshawishi mkewe japo wakafanye mazoezi ya kutembea pamoja plus, huyu dada sidhani angeweza kukaa tu kizembe wakati anaona mumewe anajiweka fit hivyo.
Sidhani mwili wake wa kupunguza kwa mazoezi, labda kwa Lipo.
 
Yaani we ni hewa kabisa. Eti una mvuto.....mvuto huo unajipa mwenyewe. Mvuto tunaona sisi wanaume sio wewe acha kujifariji na sura yako ya kiume.

Let me give u a true story, nilipokuwa chuo kulikua na dada classmate mrefu kidogo, mwembamba lakini si sana, mweupe yuko smart sauti nzuri, sura tamu kwa kumuangalia tu ni bonge la mwanamke.

Kulikuweoo na classmate mwingine "dem" wa kawaida. Alikua mfupi, ana uso mpana nasura ya kawaida sana, kibonge, ana nywele (vinyweleo) nyingi mikononi na miguuni.

Siku moja nilikuta washikaji wanajadili kwamba yule demu anayeonekana mzuri is not romantic hata chembe. Unaweza kukaa naye getto (hostel room) mkiwa wawili tu au sehem ya faragha just two of you na usimfeel hata kidogo. Wadau kadhaa walikua wanatoa experience zao. Maana kuna ile umekaa na dem sehem fulani hata kama sio wako wanaume huwa tunapata kahisia fulani.

The same people wakawa wanamsifu yule dem kwamba ukikaa naye sehem ya upweke kama nilivyoleza hapo juu ni lazma mwanaume utadi***sha na kupata hisia kali. Na wala hakuwa na tabia za kutega watu.

Wadada mnajidanganya na muonekano mnadhani ndio kila kitu. Kwa kawaida mtu ni rahisi kumfukuzia dem mkali akisha kula huyo anasepa. Just kutia sign tu kwamba naye alishapita.....tunaowaoa ni hao hao nyie mnaowaona hawawazidi kwa muonekano.
Yaani ww ndio kilaza zaidi ya bashite walah tena na hii ni post yangu ya mwisho cwezi kujibizana na mtu asojielewa sasa mm mambo ya kudinda yananihusu nn??ww hunifahamu tuliza pumbu unaruka ruka tuu...eti najifariji[emoji23] [emoji23] asee pole sanaa ndio maana nilikuambia hujiamini mtt Mdogo ww unasubiri mwanamke au mwanaume mwenzio akuambie unamvuto c UKIHIO huo aahgg...kwakuwa leo is Sunday naomba niishie hapa.
 
huyo jamaa ni selfish. Kama yeye ni mtu wa zoezi kwa nn asimsaidie mkewe naye awe na shape nzuri? unafiki tupu
 
Na palipo na TRUE LOVE pana MUNGU pia, refer maana ya UPENDO kibiblia.

Good luck for you two.

Cc mate wangu mahondaw


This's just perfect.
"Na palipo na True Love pana Mungu"
Ina march na hii topic. Nitaamini hii ndiyo iliyowaweka pamoja huyu mdada 'Jazzy' na mumewe. Kusingekuwepo na msaada wa nguvu ya ziada, sidhani wange last kama familia nzuri na kuwa mfano kwa wengine kama hivi.
 
Back
Top Bottom