Namna ya kuunganisha line na simu call

Namna ya kuunganisha line na simu call

Hujasomeka mkuu nini maana yako hapo

Staki kuamini kuwa page 5 hakuna jibu hata 1 la uhakika lililopatikana.

Ndio mana huwa nasema kuwa wasomi wetu wengi wa IT kibongo bongo wanaishia kuwa mafundi simu lakini wanabisha.
 
Hapo kuna mengi mkuu kunajufundishwa afu usielewe pia kuna selfishness ya mtu mwenyewe kuona kuwa kushare na wenzio taaluma yake aliyopata pasipo na malipo yeyote ni kuchamba mbwa

So ukijaribu kuangalia kiundani zaidi huwatunaishia na vitu vidogo kwa maana hatutaki kushare na kupanua wigo ya uelewa hususani kwa masuala ya science inayotuzunguka kwann tusiseme kuwa binadamu aliumbwa na allien ...na tusibishe coz hatuna tabia ya kuchunguza ,kushare na kueleweshwa tukaelewa mambo n mengi mkuu

Wabongo nan aliwaloga ?
Staki kuamini kuwa page 5 hakuna jibu hata 1 la uhakika lililopatikana.

Ndio mana huwa nasema kuwa wasomi wetu wengi wa IT kibongo bongo wanaishia kuwa mafundi simu lakini wanabisha.
 
Hapo kuna mengi mkuu kunajufundishwa afu usielewe pia kuna selfishness ya mtu mwenyewe kuona kuwa kushare na wenzio taaluma yake aliyopata pasipo na malipo yeyote ni kuchamba mbwa

So ukijaribu kuangalia kiundani zaidi huwatunaishia na vitu vidogo kwa maana hatutaki kushare na kupanua wigo ya uelewa hususani kwa masuala ya science inayotuzunguka kwann tusiseme kuwa binadamu aliumbwa na allien ...na tusibishe coz hatuna tabia ya kuchunguza ,kushare na kueleweshwa tukaelewa mambo n mengi mkuu

Wabongo nan aliwaloga ?

Uliwahi kutumia whatsscan mkuu...?

Hii unapata access kwa Whatsapp yake kwenye text, images na calls pia.

Unaifahamu bro...?
 
Uliwahi kutumia whatsscan mkuu...?

Hii unapata access kwa Whatsapp yake kwenye text, images na calls pia.

Unaifahamu bro...?
Whats up scan ina kaa mda mfupi sana ukitoka tu nayenyewe bas mpka uscan again changamoto kama unaishi naye mbali itakuwaje
 
Whats up scan ina kaa mda mfupi sana ukitoka tu nayenyewe bas mpka uscan again changamoto kama unaishi naye mbali itakuwaje

Aaaaaaaaah mi nikajua inadumu moja kwa moja sijawahi kuitumia ila naiskia tu ndio nikasema nikuulize kama ulishawahi kuitumia.

Ila kuna sehemu pameandikwa KEEP ME SIGNED IN panatakiwa upaweke tick hapo ulifanya hivyo bro...?
 
Ngoja nijarabu kama itawezekana ntakujuza what going on
 
Hai jf samahani naombeni msaada wenu nawezaje pata maonge ya mtuu mwingine? Tafadhal jaman nixaidien
Hii ni kwa information purpose, zipo apps nyingi za kutrack simu ikiwemo sms na call mfano celebrus.

Ugumu wa kutrack simu kwa kutumia app ni kwamba inabidi uwe na physical interaction na simu hata kwa mara moja ili uinstall hiyo app kwenye simu ya muhusika.

Hii application ya mobile tracker ndio nzuri kwa hilo lengo unalolitaka lakini inahitaji muhusika afungue data.
 
Hii ni kwa information purpose, zipo apps nyingi za kutrack simu ikiwemo sms na call mfano celebrus.

Ugumu wa kutrack simu kwa kutumia app ni kwamba inabidi uwe na physical interaction na simu hata kwa mara moja ili uinstall hiyo app kwenye simu ya muhusika.

Hii application ya mobile tracker ndio nzuri kwa hilo lengo unalolitaka lakini inahitaji muhusika afungue data.
Hii ni kwa information purpose, zipo apps nyingi za kutrack simu ikiwemo sms na call mfano celebrus.

Ugumu wa kutrack simu kwa kutumia app ni kwamba inabidi uwe na physical interaction na simu hata kwa mara moja ili uinstall hiyo app kwenye simu ya muhusika.

Hii application ya mobile tracker ndio nzuri kwa hilo lengo unalolitaka lakini inahitaji muhusika afungue data.

Sawa je kama muhusika anatumi simu isiyo ya simatphon
 
Mimi nasubiri nitapata wapi Shamba la kulima mpunga kwenye irrigation scheme yoyote kama ekari 50 hivi.
 
Back
Top Bottom