Naomba kujuzwa namna ya kuunganisha simu na TV

Jun 25, 2021
44
27
Wadau, poleni na majukumu nilikuwa naomba mwenye uelewa wa kuunganisha smart tv na simu yaani kufanya mirror cast siku yangu ni Samsung A12, na tv ni hisense A4 series smart tv.

Karibuni
 
Unauhakika tv na simu vyote vina huduma ya casting ? Kama jibu ni ndio basi washa casting kwa tv na kwa simu pair zitaconect
Wadau,poleni na majukumu nilikuwa naomba mwenye uelewa wa kuunganisha smart tv na simu yaani kufanya mirror cast siku yangu ni Samsung A12, na tv ni hisense A4 series smart tv,karibuni
 
Wadau,poleni na majukumu nilikuwa naomba mwenye uelewa wa kuunganisha smart tv na simu yaani kufanya mirror cast siku yangu ni Samsung A12, na tv ni hisense A4 series smart tv,karibuni
TV na simu zote unatakiwa kuunganisha na kifaa kingine kinachotoa internet kama min wifi ya voda au simu yako nyingine ndio uunganishe simu na TV yako zote zipokee wifi kutoka simu nyingine ndio uunganishe castviews
 
Wadau,poleni na majukumu nilikuwa naomba mwenye uelewa wa kuunganisha smart tv na simu yaani kufanya mirror cast siku yangu ni Samsung A12, na tv ni hisense A4 series smart tv,karibuni
A12 haina miracast huwezi.

Alternative ni kutumia dlna. Am not sure 100% unaseti vipi dlna na hisense ila cheki store niliwahi kuona web video caster hii inaweza kupa hio option.

SSema dlna inataka simu na tv ziwe on samw network.
 
A12 haina miracast huwezi.

Alternative ni kutumia dlna. Am not sure 100% unaseti vipi dlna na hisense ila cheki store niliwahi kuona web video caster hii inaweza kupa hio option.

SSema dlna inataka simu na tv ziwe on samw network.
Sawa nimekupata
 
Sawa nimekupata
Nimecheki kwenye hisense hapa.

1. Nenda playstore download web video caster

2. Fungua web video caster juu pale click alama ya tv, kisha bonyeza configure which streaming device to scan for, tick zote

3. Click ok utaona neno smart tv Dlna linatokea click itatokea option kwenye tv ku connect.

4. Kama imeconnect ile alama ya TV kwenye app itakua nyeupe.

5. Nenda Gallery tafuta video unayotaka kucheza then play kisha chagua share kisha web video caster, video yako itaplay kwenye tv.
 
Nimecheki kwenye hisense hapa.

1. Nenda playstore download web video caster

2. Fungua web video caster juu pale click alama ya tv, kisha bonyeza configure which streaming device to scan for, tick zote

3. Click ok utaona neno smart tv Dlna linatokea click itatokea option kwenye tv ku connect.

4. Kama imeconnect ile alama ya TV kwenye app itakua nyeupe.

5. Nenda Gallery tafuta video unayotaka kucheza then play kisha chagua share kisha web video caster, video yako itaplay kwenye tv.
Aiseee kaka asante sana,nashukuru kwa muda wako aisee,nitaleta mrejesho
 
Jamani na me naombeni kufahamu jinsi gani ya kuunganisha simu na tv ni samsang flat smart tv ila najaribu kila njia inagoma
Wadau, poleni na majukumu nilikuwa naomba mwenye uelewa wa kuunganisha smart tv na simu yaani kufanya mirror cast siku yangu ni Samsung A12, na tv ni hisense A4 series smart tv.

Karibun
 
Simu gani TV gani
Mkuu samahani,nje ya mada kidogo.Nataka kuagiza simu aina ya Samsung galaxy grand prime kutoka Aliexpress.Je,kati ya version hizi hapa chini ni version ipi bora zaidi kwa mitandao ya hapa kwetu Tanzania?
02023051205157.jpg
 
Ili kuunganisha simu yako ya Samsung A12 na TV yako ya Hisense A4 kwa kutumia Miracast (pia inajulikana kama Screen Mirroring), unahitaji kufuata hatua hizi:

1. Hakikisha kuwa TV yako inasaidia Miracast (Screen Mirroring). Unaweza kuthibitisha hili kwenye kijitabu cha mtumiaji wa TV yako au kwa kutafuta habari kwenye mtandao.

2. Hakikisha kuwa simu yako inasaidia Miracast (Screen Mirroring). Unaweza kuthibitisha hili kwa kutafuta habari kwenye mtandao au kwa kuangalia katika mipangilio ya simu yako.

3. Hakikisha kuwa simu yako na TV yako ziko kwenye mtandao huo huo wa Wi-Fi.

4. Kwenye simu yako, fungua menyu ya Quick Settings (Unaweza kupata Quick Settings kwa kusogeza kidole kutoka juu kwenda chini kwenye skrini ya simu yako).

5. Chagua ikoni ya Screen Mirroring kwenye Quick Settings.

6. Simu yako itaanza kutafuta vifaa vya Miracast vilivyopo kwenye mtandao wa Wi-Fi. Baada ya kumaliza kutafuta, itaonyesha orodha ya vifaa vilivyopo.

7. Chagua TV yako kwenye orodha ya vifaa vilivyopo.

8. Baada ya hapo, skrini ya simu yako itaanza kuonyeshwa kwenye TV yako kupitia Miracast.

Ikiwa hii haitafanya kazi, jaribu kufuata hatua hizi:

1. Hakikisha kuwa simu yako na TV yako ziko kwenye mtandao huo huo wa Wi-Fi.

2. Kwenye simu yako, nenda kwenye mipangilio ya Wi-Fi na bonyeza kitufe cha Menyu (au dots tatu) kwenye kona ya juu upande wa kulia wa skrini yako.

3. Chagua "Wi-Fi Direct" kwenye menyu.

4. Simu yako itaanza kutafuta vifaa vilivyopo kwenye mtandao wa Wi-Fi Direct.

5. Chagua TV yako kwenye orodha ya vifaa vilivyopo.

6. Baada ya hapo, skrini ya simu yako itaanza kuonyeshwa kwenye TV yako kupitia Wi-Fi Direct.

Ikiwa bado haitafanya kazi, unaweza kutafuta programu za tatu ambazo zinaweza kusaidia kuunganisha simu yako na TV yako kupitia Miracast au Wi-Fi Direct, kama vile Miracast Display Finder, AllCast, LocalCast, nk.
 
Back
Top Bottom