Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,198
Wewe ukiandika nitasumbua kichwa kufikiri ulimaanisha nini!.. Sio mtoto wa kiume ananiandikia hivyo!.Sio alikuwa anawahi wapi ndio miandiko yao hiyo vijana wa siku hizi wazee wa xa xa badala ya sasa k badala ya okay