Namna ya kuunganisha line na simu call

Namna ya kuunganisha line na simu call

Swali Kwa Mtoa Maada, Ukishayapata Mawasiliano Yake Kipi Kitafuata???? Ongea Nae Tuu jombaa jifanye mpelelezi tuu kama wa kwenye movies yatakutokea mapuani utashindwa kutafuta hata pesa mwezi mzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila ntu na njia yake kutegemeana na nke unaye ishi naye. Mm wa kwangu natumia njia ya kienyeji na ni muda mrefu sasa namfuatilia bila yeye kujijua. nimenunua memorycard kubwa na kuipachika ndani ya cm yake. Harafu nmeiweka auto call recorder na kupiga lock hilo file na mfumo wote wa setings kwenye simu yake. Hapa inahitaji uwe mtu wa kukaa kimya usiwe mtu wa kukurupuka na kuropoka ropoka. Jenga mazoea ya kumwachia cm yako awe na uhuru nayo na tumia sim yake bila kumuudhi. Nke ni kiumbe dhaifu tumeaswa kuishi nao kwa hakili. Msitushangae mazee.
 
Hey jf naombeni msaada wenu wandugu kama kuna mtaalam wa IT anielekeze namna gani ya kuhack mawasiliano kwa maana akipigiwa mtu simu mfano wife na mtu mwngine basi namm nipate kujua kwa kuisikia ikiita na wakiongoea
Akipigiwa tu na mm simu yangu iwe inaita na akipokea na mm nisikie mazungumzo yao plz niko kwny upelelezi mkubwa msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app

Nenda TCRA watakusaidia.
Ni kosa kuingilia mawasiliano ya mtu bila kibali
 
Unataka kumfuatilia mtu ambaye mmekutana tayali mkiwa watu wazima. Halafu unafahamu ana namba ngapi ambazo huzijui. Tafuta pesa mkuu, achana na kufuatilia mwanamke.
Sawa mkuu sipingani na wazo lako upo sahihi haswa akini kumbuka tunatafuta pesa kwa ajili ya familia zetu kati ya hao pia yeye yupo tena ndo second holder wa hiyo hela unayoitafuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kah jamaa fanya kazi tu,Uongeze kipato. hapo utapoteza muda. Kama unajua ni mtu mzima na unaona kashindwa kujiheshimu kwenye ndoa hata ukimfuatilia mawasiliano sio njia ya kumbadili,aamue kubadilika mwenywe
Ndio kipato kinatafutwa tena ukicheka na nyani bila kumfuatilia na hicho unachokitafuta ndo anamuhonga hao ma x wake huoni utakuwa unajirudisha nyuma yaani unachumia juani tena kwa shida akini anakuja jiume mwenzio kisa mkeo anakula tu kiulaini WE HAVE TO DO SOMETHING BHANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali Kwa Mtoa Maada, Ukishayapata Mawasiliano Yake Kipi Kitafuata???? Ongea Nae Tuu jombaa jifanye mpelelezi tuu kama wa kwenye movies yatakutokea mapuani utashindwa kutafuta hata pesa mwezi mzima

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nijibu swali lako ivi

Pindi nikigundua ukweli huenda nikafanya maamuzi chanya ambayo yataleta tija hapo mbeleni kwa maana ni aibu kwa majirani na watoto kwa tabia ya kuchepuka mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila ntu na njia yake kutegemeana na nke unaye ishi naye. Mm wa kwangu natumia njia ya kienyeji na ni muda mrefu sasa namfuatilia bila yeye kujijua. nimenunua memorycard kubwa na kuipachika ndani ya cm yake. Harafu nmeiweka auto call recorder na kupiga lock hilo file na mfumo wote wa setings kwenye simu yake. Hapa inahitaji uwe mtu wa kukaa kimya usiwe mtu wa kukurupuka na kuropoka ropoka. Jenga mazoea ya kumwachia cm yako awe na uhuru nayo na tumia sim yake bila kumuudhi. Nke ni kiumbe dhaifu tumeaswa kuishi nao kwa hakili. Msitushangae mazee.
Aisee mkuu ww ni tiba pia sinto sita kusema ww hujali kuwa na familia yenye upendo na mke mwenye busara without chiting

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom