lukinga01
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 440
- 406
Mkuu uko sahihi sana, uko sawa sana tu. Mimi mwenyewe hapa nina zaidi ta miaka 13 kwenye ndoa. Nilichojifunza ni kuwa wanawake ni viumbe dhaifu mno yaani mno. Ukiwaacha wajiendeage kama mimbuzi ndani ya muda mfupi unajikuta huna ndoa wala huna familia. Ukitaka familia iende mbele mtangulize mke na watoto mbele wewe fuatilia hatua zao kwa nyuma huku ukiwa sahihisha na kuwaboresha wanapokosea. Ndg tuko pa1 sana kwa hili.Asante sana mkuu hakika kwenye wengi kuna mengi ni muhimu sana kumlinda mke na familia kwa ujumla kwa sababu tayari nishatoka nyumbani na nimepewa jukum la kuwa na familia sasa ndo ninayo familia watanicheka sana walimwengu nikiipoteza familia niliyoijenga takriban miaka 10 sasa kusa shetani niiharibu familia yangu amini ninasema nitamchunguza na kumlinda na wanyanganyi kwa hali yangu yote mwisho niseme asante sana hili nilikuwa nalisubiri sana sema nilikuwa sina uhakika katika mia hata mmoja akiwa by my side nafikiri niko right broo thanx sana
Sent using Jamii Forums mobile app