Namna ya kuunganisha line na simu call

Namna ya kuunganisha line na simu call

Mkuu kwanza pole, ila kuna mtu kakwambia haiwezekani. Nami namwambia, nothing impossible under the sun. Hiyo inawezekana kabisa bila shida. Nenda play store zipi app kibao utazikuta huko, ila wasiwasi wangu watanzania tunapenda vya bure, hizo lazima ulipie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sahihi akini ni mke wangu na haki ya kujua na kufuaatilia yote kama majibu ya ukimwi tunashirikishana sembuse hili mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Una haki kujua iwapo atakuruhusu, vinginevyo ni kosa kisheria. Unaposema majibu ya UKIMWI mashirikishana, je hili la kuhack mawasiliano mmeshirikishana?
 
Mkuu kwanza pole, ila kuna mtu kakwambia haiwezekani. Nami namwambia, nothing impossible under the sun. Hiyo inawezekana kabisa bila shida. Nenda play store zipi app kibao utazikuta huko, ila wasiwasi wangu watanzania tunapenda vya bure, hizo lazima ulipie

Sent using Jamii Forums mobile app
Fine kwan shingap mkuu nimetoka kutoa mahari ya 6million sembuse nione uchungu kununua apps for my wife tunawahonga vingi vya gharama mkuu sina budi kufanya ivo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una haki kujua iwapo atakuruhusu, vinginevyo ni kosa kisheria. Unaposema majibu ya UKIMWI mashirikishana, je hili la kuhack mawasiliano mmeshirikishana?
Hajaniruhusu na hata nikimshirikisha hatoniruhusu sasa nataka niokoe ndoa yangu we mbona so mgeni kwa mambo uchungu wa mke mkuu ama hujaowa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu njoo pm nikuelekeze vyot unavovitaka acha na long long za watuu
 
Mkuu Mandela 1 usiwasikilize wanaokupinga kwa hili wazo lako la kumdukua your wife. Mwanaume ni mhimili mkuu wa familia yake. Mm kivyangu nauamini mno mfumo dume na naamini mpinzani wa mfumo dume ni shetani na wafuasi wake. Usishangae wanaokupinga wengi ni wanawake waovu au ambao hawamo ndani ya ndoa. Mm najitahidi mno kuipa familia yangu haki ya viwango vya lami. Ikiwepo na ulinzi na usalama kwa viwango vilivyo ndani ya uwezo wangu. Hata serikali hutudukua na kutufuatilia ikiwa ni katika kutupa ulinzi na usalama wa mmoja mmoja na taifa zima kwa ujumla. Mm humwambia wife namna nilivyo mwaminifu kwake na kumhiza awe mtulivu na mwaminifu. Na siishii hapo tu, na sio kwamba namfuatilia kwa ajili ya uzinzi tu. Humfwatilia asije kutapeliwa, kuingizwa imani mbovu na mambo mengine mengine ambayo hayafai. Wanawake ni viumbe dhaifu tuishi nao kwa akili.
 
Hey jf naombeni msaada wenu wandugu kama kuna mtaalam wa IT anielekeze namna gani ya kuhack mawasiliano kwa maana akipigiwa mtu simu mfano wife na mtu mwngine basi namm nipate kujua kwa kuisikia ikiita na wakiongoea
Akipigiwa tu na mm simu yangu iwe inaita na akipokea na mm nisikie mazungumzo yao plz niko kwny upelelezi mkubwa msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nilishatoa elimu hii kwenye jukwaa 1 hv ngoja nijarib kulitafuta na kushare link khs kupata call, sms, picha, location na kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mandela 1 usiwasikilize wanaokupinga kwa hili wazo lako la kumdukua your wife. Mwanaume ni mhimili mkuu wa familia yake. Mm kivyangu nauamini mno mfumo dume na naamini mpinzani wa mfumo dume ni shetani na wafuasi wake. Usishangae wanaokupinga wengi ni wanawake waovu au ambao hawamo ndani ya ndoa. Mm najitahidi mno kuipa familia yangu haki ya viwango vya lami. Ikiwepo na ulinzi na usalama kwa viwango vilivyo ndani ya uwezo wangu. Hata serikali hutudukua na kutufuatilia ikiwa ni katika kutupa ulinzi na usalama wa mmoja mmoja na taifa zima kwa ujumla. Mm humwambia wife namna nilivyo mwaminifu kwake na kumhiza awe mtulivu na mwaminifu. Na siishii hapo tu, na sio kwamba namfuatilia kwa ajili ya uzinzi tu. Humfwatilia asije kutapeliwa, kuingizwa imani mbovu na mambo mengine mengine ambayo hayafai. Wanawake ni viumbe dhaifu tuishi nao kwa akili.
Asante sana mkuu hakika kwenye wengi kuna mengi ni muhimu sana kumlinda mke na familia kwa ujumla kwa sababu tayari nishatoka nyumbani na nimepewa jukum la kuwa na familia sasa ndo ninayo familia watanicheka sana walimwengu nikiipoteza familia niliyoijenga takriban miaka 10 sasa kusa shetani niiharibu familia yangu amini ninasema nitamchunguza na kumlinda na wanyanganyi kwa hali yangu yote mwisho niseme asante sana hili nilikuwa nalisubiri sana sema nilikuwa sina uhakika katika mia hata mmoja akiwa by my side nafikiri niko right broo thanx sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hey jf naombeni msaada wenu wandugu kama kuna mtaalam wa IT anielekeze namna gani ya kuhack mawasiliano kwa maana akipigiwa mtu simu mfano wife na mtu mwngine basi namm nipate kujua kwa kuisikia ikiita na wakiongoea
Akipigiwa tu na mm simu yangu iwe inaita na akipokea na mm nisikie mazungumzo yao plz niko kwny upelelezi mkubwa msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mchwa ameanza kutafuna nafaka?
ni hatari kufikia hapo waweza kufanya tukio baya, relax mkuu, angalia wapi umeteleza hadi mke afikie hapo.
huenda wewe ndiye ulieanza rafu na huu ni mrejesho tu.
witnessj njoo utie neno hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una moyo usije ukapotea jukwaani hapa, kama umemuona kabadilika mtoe out kamweleze mabadiliko yake hupendezwi naye umwambie unataka aweje mtu mzima mwelewa atajirekebisha tu
Kuna watu muhimu wanakutegemea acha kujitafutia maradhi yasiyo na lazima
akili yako ni njema sana Sonia G

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu mchwa ameanza kutafuna nafaka?
ni hatari kufikia hapo waweza kufanya tukio baya, relax mkuu, angalia wapi umeteleza hadi mke afikie hapo.
huenda wewe ndiye ulieanza rafu na huu ni mrejesho tu.
witnessj njoo utie neno hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapna kama kunatatizo la namna hiyo basi angeniambia maana tunatumia mda mwingi sana kumuuliza

MAMA SHIDA IKO WAP

Majibu nikuwa hapna shida naridhika na vyote hapo kosa liko wap mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom