Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,901
Kwema Wakuu!
Vita inayoendelea huko Israel Vs Palestina (Hamas) inadhihirisha kuwa namna bora ya kukabiliana na Magaidi ni kutumia mbinu zao wenyewe, yaani kuwafanyia ugaidi mara mbili.
Kwa mfano, Kitendo cha Hamas kuvamia Israel na kuua Raia wasio na hatia ni kitendo cha kigaidi. Na Waisraeli na hata taifa lolote lile lisingekuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya kutumia ugaidi ili kutokomeza magaidi.
"Tumia ugaidi kutokomeza magaidi"
Gaidi akiua kigaidi Watu wako 10 basi wewe fanya hivyo mara kumi yake kwake kwa kutumia mbinu ileile.
Ambacho Hamas wangekifanya ambacho hata mimi ningekiunga mkono ni kutangaza vita na Waisrael, vita Rasmi, na kuwataka Raia wa Israel waondoke ili Hamas waweze kukabiliana na jeshi la Israel. Lakini sio kufanya ugaidi kisha kujificha kwenye makazi ya Watu.
Israel inaweza kuwa na matatizo Makubwa, ambayo Watu wengi hatuyaungi mkono lakini naweza kukubaliana na mbinu wanazotumia katika kudili na maadui zao.
Gaidi wakitandika Raia wako, wewe unaenda kutandika Raia na ndugu zao. Hiyo ni mbinu ambayo waisrael wanaijua na kuzitumia katika falsafa ya jino kwa jino, jicho kwa jicho, uhai kwa uhai. Kama Legend wao aitwaye Musa alivyowaagiza katika Torati;
Kutoka 21:
24 jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,
25kuchomwa moto kwa kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, na pigo kwa pigo.
Vita inayoendelea huko Israel Vs Palestina (Hamas) inadhihirisha kuwa namna bora ya kukabiliana na Magaidi ni kutumia mbinu zao wenyewe, yaani kuwafanyia ugaidi mara mbili.
Kwa mfano, Kitendo cha Hamas kuvamia Israel na kuua Raia wasio na hatia ni kitendo cha kigaidi. Na Waisraeli na hata taifa lolote lile lisingekuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya kutumia ugaidi ili kutokomeza magaidi.
"Tumia ugaidi kutokomeza magaidi"
Gaidi akiua kigaidi Watu wako 10 basi wewe fanya hivyo mara kumi yake kwake kwa kutumia mbinu ileile.
Ambacho Hamas wangekifanya ambacho hata mimi ningekiunga mkono ni kutangaza vita na Waisrael, vita Rasmi, na kuwataka Raia wa Israel waondoke ili Hamas waweze kukabiliana na jeshi la Israel. Lakini sio kufanya ugaidi kisha kujificha kwenye makazi ya Watu.
Israel inaweza kuwa na matatizo Makubwa, ambayo Watu wengi hatuyaungi mkono lakini naweza kukubaliana na mbinu wanazotumia katika kudili na maadui zao.
Gaidi wakitandika Raia wako, wewe unaenda kutandika Raia na ndugu zao. Hiyo ni mbinu ambayo waisrael wanaijua na kuzitumia katika falsafa ya jino kwa jino, jicho kwa jicho, uhai kwa uhai. Kama Legend wao aitwaye Musa alivyowaagiza katika Torati;
Kumbukumbu 19:21 NMM
Msionyeshe huruma, uhai kwa uhai, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.Kutoka 21:
24 jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,
25kuchomwa moto kwa kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, na pigo kwa pigo.