Magaidi ya Houthi yanayosaidiwa na Iran yateka meli ya mizigo

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,559
41,077
Kama inavyofahamika, karibia makundi yote ya kigaidi Duniani huanzishwa na husaidiwa na Iran.

Siku chache zilizopita, kundi la kigaidi la Houthi, ambalo hufanya maangamizi zaidi huko Yemen, na ambalo hivi karibuni limewahi kurusha makombora kwenda Israel, lilieleza kuwa litaanza kuteka meli zote zenye bendera ya Israel na zile zinazomilikiwa na mataifa yanayoiunga mkono Israel.

Kundi hili Houthi limeiteka meli ya Galaxy Leader iliyokuwa safarini toka Uturuki kuelekea India. Haikuwa na muisrael hata mmoja, wala haimilikiwi na Israel, bali kuna muisrael mmoja tu mwenye hisa kwenye kampuni inayomiliki meli hiyo.

Meli ilikuwa na watu 22 ambao wanatoka mataifa ya Ukraine, Mexico, Philippines na Bulgaria. Magaidi wanasema watawashikilia mateka kwa kadiri ya miongozo ya dini ya kiislam!!

Israel imesema kuwa utekaji huo uliofanywa na kundi la Houthi, umeratibiwa na Iran, na kuongeza kuwa hali hii itaathiri biashara nzima ya usafiri wa meli.

Iran imesema kuwa kutokana na yanayoendelea Gaza, hakuna uwezekano wa kuzuia kusambaa kwa vita.

Marekani imesema inawasiliana na mataifa mengine kupitia UN ili kuamua hatua za kuchukua, lakini imelitaka kundi hilo la kigaidi kuiachia meli hiyo na mateka wote, mara moja.

Watanzania tujiandae kwa janga jingine tena la kupanda bei bidhaa. Haya magaidi yatafanya upatikanaji wa bidhaa uanze kuwa wa shida maana makampuni mengi ya meli yatasitisha shughuli za usafirishaji au kulazimika kupita mbali kabisa kukwepa bahari inayokaribia maeneo ya mashariki ya kati ambako magaidi haya yameweka mizizi yao.

Lakini haya magaidi hayana simile, yanaweza kuteka hata vyombo vingine vya usafiri, hata usafiri wa abiria kama ndege.

Hapo mashariki ya kati ni hatari kubwa kwa ysalama wa dunia.
 
Wakishughulikiwa akina Ritz wanalialia
Hao akina Ritz, wanaonekana kushabikia ugaidi, lazima kuna tatizo katika ubinadamu wao. Haya magaidi mara nyingi yanapofanya uovu wao, huwa hayaangalii wala kuelekeza uovu wao kwa waliowafanyia ubaya.

Fikiria pale Kenya, magaidi walivyowaua wateja waioenda supermarket kutafuta mahitaji. Kabla hayajakuua yalikuwa yanauliza tu kama wewe ni muislam au mkristo. Ukisema wewe ni mkristo, yanakuua. Ukisema wewe ni muislam, yamakuuliza swali linalohusiana na uislam, ukishindwa kujibu unauawa. Kama vile kutokuwa muislam ni hatia ambayo adhabu yake ni kifo!! Sijui kwa nini haya magaidi yanafungamanisha ugaidi wao na uislam!!
 
Kama inavyofahamika, karibia makundi yote ya kigaidi Duniani huanzishwa na husaidiwa na Iran.

Siku chache zilizopita, kundi la kigaidi la Houthi, ambalo hufanya maangamizi zaidi huko Yemen, na ambalo hivi karibuni limewahi kurusha makombora kwenda Israel, lilieleza kuwa litaanza kuteka meli zote zenye bendera ya Israel na zile zinazomilikiwa na mataifa yanayoiunga mkono Israel.

Kundi hili Houthi limeiteka meli ya Galaxy Leader iliyokuwa safarini toka Uturuki kuelekea India. Haikuwa na muisrael hata mmoja, wala haimilikiwi na Israel, bali kuna muisrael mmoja tu mwenye hisa kwenye kampuni inayomiliki meli hiyo.

Meli ilikuwa na watu 22 ambao wanatoka mataifa ya Ukraine, Mexico, Philippines na Bulgaria. Magaidi wanasema watawashikilia mateka kwa kadiri ya miongozo ya dini ya kiislam!!

Israel imesema kuwa utekaji huo uliofanywa na kundi la Houthi, umeratibiwa na Iran, na kuongeza kuwa hali hii itaathiri biashara nzima ya usafiri wa meli.

Iran imesema kuwa kutokana na yanayoendelea Gaza, hakuna uwezekano wa kuzuia kusambaa kwa vita.

Marekani imesema inawasiliana na mataifa mengine kupitia UN ili kuamua hatua za kuchukua, lakini imelitaka kundi hilo la kigaidi kuiachia meli hiyo na mateka wote, mara moja.

Watanzania tujiandae kwa janga jingine tena la kupanda bei bidhaa. Haya magaidi yatafanya upatikanaji wa bidhaa uanze kuwa wa shida maana makampuni mengi ya meli yatasitisha shughuli za usafirishaji au kulazimika kupita mbali kabisa kukwepa bahari inayokaribia maeneo ya mashariki ya kati ambako magaidi haya yameweka mizizi yao.

Lakini haya magaidi hayana simile, yanaweza kuteka hata vyombo vingine vya usafiri, hata usafiri wa abiria kama ndege.

Hapo mashariki ya kati ni hatari kubwa kwa ysalama wa dunia.
Gaidi mama yako
Tako wewe
 
Hao akina Ritz, wanaonekana kushabikia ugaidi, lazima kuna tatizo katika ubinadamu wao. Haya magaidi mara nyingi yanapofanya uovu wao, huwa hayaangalii wala kuelekeza uovu wao kwa waliowafanyia ubaya.

Gikiria pale Kenya, magaidi walivyowaua wateja waioenda supermarket kutafuta mahitaji. Kabla hayajakuua yalikuwa yanauliza tu kama wewe ni muislam au mkristo. Ukisema wewe ni mkristo, yanakuua. Ukisema wewe ni muislam, yamakuuliza swali linalohusiana na uislam, ukishindwa kujibu unauawa. Kama vile kutokuwa muislam ni hatia ambayo adhabu yake ni kifo!! Sijui kwa nini haya magaidi yanafumgamanisha ugaidi wao na uislam!!
Marekani na wenzie mara ngapi wamekwapua meli za watu!?..uliwaita magaidi!!
 
Kama inavyofahamika, karibia makundi yote ya kigaidi Duniani huanzishwa na husaidiwa na Iran.

Siku chache zilizopita, kundi la kigaidi la Houthi, ambalo hufanya maangamizi zaidi huko Yemen, na ambalo hivi karibuni limewahi kurusha makombora kwenda Israel, lilieleza kuwa litaanza kuteka meli zote zenye bendera ya Israel na zile zinazomilikiwa na mataifa yanayoiunga mkono Israel.

Kundi hili Houthi limeiteka meli ya Galaxy Leader iliyokuwa safarini toka Uturuki kuelekea India. Haikuwa na muisrael hata mmoja, wala haimilikiwi na Israel, bali kuna muisrael mmoja tu mwenye hisa kwenye kampuni inayomiliki meli hiyo.

Meli ilikuwa na watu 22 ambao wanatoka mataifa ya Ukraine, Mexico, Philippines na Bulgaria. Magaidi wanasema watawashikilia mateka kwa kadiri ya miongozo ya dini ya kiislam!!

Israel imesema kuwa utekaji huo uliofanywa na kundi la Houthi, umeratibiwa na Iran, na kuongeza kuwa hali hii itaathiri biashara nzima ya usafiri wa meli.

Iran imesema kuwa kutokana na yanayoendelea Gaza, hakuna uwezekano wa kuzuia kusambaa kwa vita.

Marekani imesema inawasiliana na mataifa mengine kupitia UN ili kuamua hatua za kuchukua, lakini imelitaka kundi hilo la kigaidi kuiachia meli hiyo na mateka wote, mara moja.

Watanzania tujiandae kwa janga jingine tena la kupanda bei bidhaa. Haya magaidi yatafanya upatikanaji wa bidhaa uanze kuwa wa shida maana makampuni mengi ya meli yatasitisha shughuli za usafirishaji au kulazimika kupita mbali kabisa kukwepa bahari inayokaribia maeneo ya mashariki ya kati ambako magaidi haya yameweka mizizi yao.

Lakini haya magaidi hayana simile, yanaweza kuteka hata vyombo vingine vya usafiri, hata usafiri wa abiria kama ndege.

Hapo mashariki ya kati ni hatari kubwa kwa ysalama wa dunia.
Toka lini Houth ni Magaidi? Mbona hili neno linachukuliwa kila sehemu?
 
Kilasiku najiuliza MUNGU alikuwa wapi Hadi akamruhusu shetani kuanzisha hii Imani ya wavaa kobasi?
Hii Imani ni janga Kwa dunia yote
Kwa Hio watu wa toke huko walipotoka na Silaha zao waue watu waachwe tu? Hivi Palestina wamefanya nini, nini kosa lao? Israel ana haki gani ya kuwaua? Ama wewe unasikia tu Raha kuona wapalestina wakiuliwa kila siku wasijitetee?
 
Hao akina Ritz, wanaonekana kushabikia ugaidi, lazima kuna tatizo katika ubinadamu wao. Haya magaidi mara nyingi yanapofanya uovu wao, huwa hayaangalii wala kuelekeza uovu wao kwa waliowafanyia ubaya.

Gikiria pale Kenya, magaidi walivyowaua wateja waioenda supermarket kutafuta mahitaji. Kabla hayajakuua yalikuwa yanauliza tu kama wewe ni muislam au mkristo. Ukisema wewe ni mkristo, yanakuua. Ukisema wewe ni muislam, yamakuuliza swali linalohusiana na uislam, ukishindwa kujibu unauawa. Kama vile kutokuwa muislam ni hatia ambayo adhabu yake ni kifo!! Sijui kwa nini haya magaidi yanafumgamanisha ugaidi wao na uislam!!
Houth na Al Shabaab ni vitu viwili tofauti, tatizo la Islamophobia linasumbua watu wengi. Hebu niambie tofauti ya Houth na LrA ama M23 ni nini, halafu niambie kwanini M23 sio Magaidi na Houth ni Magaidi.
 
Kama inavyofahamika, karibia makundi yote ya kigaidi Duniani huanzishwa na husaidiwa na Iran.

Siku chache zilizopita, kundi la kigaidi la Houthi, ambalo hufanya maangamizi zaidi huko Yemen, na ambalo hivi karibuni limewahi kurusha makombora kwenda Israel, lilieleza kuwa litaanza kuteka meli zote zenye bendera ya Israel na zile zinazomilikiwa na mataifa yanayoiunga mkono Israel.

Kundi hili Houthi limeiteka meli ya Galaxy Leader iliyokuwa safarini toka Uturuki kuelekea India. Haikuwa na muisrael hata mmoja, wala haimilikiwi na Israel, bali kuna muisrael mmoja tu mwenye hisa kwenye kampuni inayomiliki meli hiyo.

Meli ilikuwa na watu 22 ambao wanatoka mataifa ya Ukraine, Mexico, Philippines na Bulgaria. Magaidi wanasema watawashikilia mateka kwa kadiri ya miongozo ya dini ya kiislam!!

Israel imesema kuwa utekaji huo uliofanywa na kundi la Houthi, umeratibiwa na Iran, na kuongeza kuwa hali hii itaathiri biashara nzima ya usafiri wa meli.

Iran imesema kuwa kutokana na yanayoendelea Gaza, hakuna uwezekano wa kuzuia kusambaa kwa vita.

Marekani imesema inawasiliana na mataifa mengine kupitia UN ili kuamua hatua za kuchukua, lakini imelitaka kundi hilo la kigaidi kuiachia meli hiyo na mateka wote, mara moja.

Watanzania tujiandae kwa janga jingine tena la kupanda bei bidhaa. Haya magaidi yatafanya upatikanaji wa bidhaa uanze kuwa wa shida maana makampuni mengi ya meli yatasitisha shughuli za usafirishaji au kulazimika kupita mbali kabisa kukwepa bahari inayokaribia maeneo ya mashariki ya kati ambako magaidi haya yameweka mizizi yao.

Lakini haya magaidi hayana simile, yanaweza kuteka hata vyombo vingine vya usafiri, hata usafiri wa abiria kama ndege.

Hapo mashariki ya kati ni hatari kubwa kwa ysalama wa dunia.
Wewe punguani kweli yaani Marekani na Ulaya wakisema kitu chochote mnafuata tu Gaidi kwa vigezo vyao Marekani na Ulaya.

U.S. officially considered Mandela a terrorist. During the Cold War, both the State and Defense departments dubbed Mandela’s political party, the African National Congress, a terrorist group, and Mandela’s name remained on the U.S. terrorism watch list till 2008.

Endeleeni kumeza propaganfa za mabwana zenu.
 
Kama inavyofahamika, karibia makundi yote ya kigaidi Duniani huanzishwa na husaidiwa na Iran.

Siku chache zilizopita, kundi la kigaidi la Houthi, ambalo hufanya maangamizi zaidi huko Yemen, na ambalo hivi karibuni limewahi kurusha makombora kwenda Israel, lilieleza kuwa litaanza kuteka meli zote zenye bendera ya Israel na zile zinazomilikiwa na mataifa yanayoiunga mkono Israel.

Kundi hili Houthi limeiteka meli ya Galaxy Leader iliyokuwa safarini toka Uturuki kuelekea India. Haikuwa na muisrael hata mmoja, wala haimilikiwi na Israel, bali kuna muisrael mmoja tu mwenye hisa kwenye kampuni inayomiliki meli hiyo.

Meli ilikuwa na watu 22 ambao wanatoka mataifa ya Ukraine, Mexico, Philippines na Bulgaria. Magaidi wanasema watawashikilia mateka kwa kadiri ya miongozo ya dini ya kiislam!!

Israel imesema kuwa utekaji huo uliofanywa na kundi la Houthi, umeratibiwa na Iran, na kuongeza kuwa hali hii itaathiri biashara nzima ya usafiri wa meli.

Iran imesema kuwa kutokana na yanayoendelea Gaza, hakuna uwezekano wa kuzuia kusambaa kwa vita.

Marekani imesema inawasiliana na mataifa mengine kupitia UN ili kuamua hatua za kuchukua, lakini imelitaka kundi hilo la kigaidi kuiachia meli hiyo na mateka wote, mara moja.

Watanzania tujiandae kwa janga jingine tena la kupanda bei bidhaa. Haya magaidi yatafanya upatikanaji wa bidhaa uanze kuwa wa shida maana makampuni mengi ya meli yatasitisha shughuli za usafirishaji au kulazimika kupita mbali kabisa kukwepa bahari inayokaribia maeneo ya mashariki ya kati ambako magaidi haya yameweka mizizi yao.

Lakini haya magaidi hayana simile, yanaweza kuteka hata vyombo vingine vya usafiri, hata usafiri wa abiria kama ndege.

Hapo mashariki ya kati ni hatari kubwa kwa ysalama wa dunia.
The zionist propaganda was failing completely on the online platform.
 
Kama inavyofahamika, karibia makundi yote ya kigaidi Duniani huanzishwa na husaidiwa na Iran.

Siku chache zilizopita, kundi la kigaidi la Houthi, ambalo hufanya maangamizi zaidi huko Yemen, na ambalo hivi karibuni limewahi kurusha makombora kwenda Israel, lilieleza kuwa litaanza kuteka meli zote zenye bendera ya Israel na zile zinazomilikiwa na mataifa yanayoiunga mkono Israel.

Kundi hili Houthi limeiteka meli ya Galaxy Leader iliyokuwa safarini toka Uturuki kuelekea India. Haikuwa na muisrael hata mmoja, wala haimilikiwi na Israel, bali kuna muisrael mmoja tu mwenye hisa kwenye kampuni inayomiliki meli hiyo.

Meli ilikuwa na watu 22 ambao wanatoka mataifa ya Ukraine, Mexico, Philippines na Bulgaria. Magaidi wanasema watawashikilia mateka kwa kadiri ya miongozo ya dini ya kiislam!!

Israel imesema kuwa utekaji huo uliofanywa na kundi la Houthi, umeratibiwa na Iran, na kuongeza kuwa hali hii itaathiri biashara nzima ya usafiri wa meli.

Iran imesema kuwa kutokana na yanayoendelea Gaza, hakuna uwezekano wa kuzuia kusambaa kwa vita.

Marekani imesema inawasiliana na mataifa mengine kupitia UN ili kuamua hatua za kuchukua, lakini imelitaka kundi hilo la kigaidi kuiachia meli hiyo na mateka wote, mara moja.

Watanzania tujiandae kwa janga jingine tena la kupanda bei bidhaa. Haya magaidi yatafanya upatikanaji wa bidhaa uanze kuwa wa shida maana makampuni mengi ya meli yatasitisha shughuli za usafirishaji au kulazimika kupita mbali kabisa kukwepa bahari inayokaribia maeneo ya mashariki ya kati ambako magaidi haya yameweka mizizi yao.

Lakini haya magaidi hayana simile, yanaweza kuteka hata vyombo vingine vya usafiri, hata usafiri wa abiria kama ndege.

Hapo mashariki ya kati ni hatari kubwa kwa ysalama wa dunia.
Usituletee ujinga hapa, unaonaje babako akiitwa gaidi? lete tafsiri ya neno gaidi hapa mpaka tuone America hawawezi kuitwa magaidi, hili ni neno baya dhidi ya waislamu, wamelengwa waislamu ili katika ulimwengu waonenake ni watu wabaya,

Emu eleza bila chuki walichofanya US Iraq, je hawakuuwa watoto wachanga wasio na hatia? hawakuua wanawake? hawakuua watu mbali mbali kwa maelfu wasio na hatia, Afghanistan nk. Vipi wanachofanya Israel Gaza sio ugaidi? kaa kimya kama hana cha kuongea
 
Kama mkristo, unapaswa kumpenda yule adui yako na kumuombea anayekuudhi, hakuna excuse ktk ukristo ya kumchukia mtu, isipokuwa matendo. Hakuna sababu ya kufurahia kifo kwa mkristo, hapa muache unafiki hata bwana Yesu atawakataa.
 
Toka lini Houth ni Magaidi? Mbona hili neno linachukuliwa kila sehemu?
Houthis have attacked civilian areas in Saudi Arabia and now, the UAE. The Houthis have committed acts of terrorism, targeting Yemeni civilians and population centers as well as civilian infrastructure in cities throughout the Arabian Gulf region.

Source: Aljazeera
 
Back
Top Bottom