mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,907
- 106,196
Chindo alikuwa anaishi mbele sijui kama karudi bongoYupo wapi chindo na JCB?
Ova
Chindo alikuwa anaishi mbele sijui kama karudi bongoYupo wapi chindo na JCB?
Album yao ya mwaka 1999/2000Ngoma kama funga kazi, pata potea, tupo nyuma kimaendeleo, mamsapu, chemsha bongo unajua zilitoka mwaka gani?
Prof J alijiunga HBC, hakua miongoni mwa waanzilishi. HBC imekuwepo toka enzi za Diplomatz na wengine. Mwaka 1999 kuelekea 2000 (mwaka waliotoa album yao ya Funga Kazi) ndipo HBC na Prof J walipoteka nyoyo za Mashabiki kwa track ya Chemsha Bongo ambapo ilifungua rasmi ukurasa wa Rap na Bongo fleva Tanzania.Unaweza kutoa uthibitisho?
Prof J alikuwa akisoma Lutengano, Tukuyu wilayani Rungwe, kuna sehemu yoyote tunaweza kufanya exactly tracing ya kuanzishwa kwa HBC?
Kuna mchizi anajiita rip faza_nelly humuLife is not fair.RIP mwamba
Miaka hio walikua na website? basi walikua ahead of timeProf J alijiunga HBC, hakua miongoni mwa waanzilishi. HBC imekuwepo toka enzi za Diplomatz na wengine. Mwaka 1999 kuelekea 2000 (mwaka waliotoa album yao ya Funga Kazi) ndipo HBC na Prof J walipoteka nyoyo za Mashabiki kwa track ya Chemsha Bongo ambapo ilifungua rasmi ukurasa wa Rap na Bongo fleva Tanzania.
Ukisoma articles, X Plastaz inaonekana ilianzishwa mwaka 1996 ingawa wengi waliifahamu miaka ya 2002/2004 kupitia ngoma zao kama AHA, Ushanta, Bamiza nk. Jamaa walikuwa na website iliyonyooka sana, walikua advanced.
Katika mwanza mwanza fid q anasema alianza rap kabla sugu hajatoa album, sasa jiulize sugu album ya kwanza katoa lini na fid tumemsikia lini?Prof J alijiunga HBC, hakua miongoni mwa waanzilishi. HBC imekuwepo toka enzi za Diplomatz na wengine. Mwaka 1999 kuelekea 2000 (mwaka waliotoa album yao ya Funga Kazi) ndipo HBC na Prof J walipoteka nyoyo za Mashabiki kwa track ya Chemsha Bongo ambapo ilifungua rasmi ukurasa wa Rap na Bongo fleva Tanzania.
Ukisoma articles, X Plastaz inaonekana ilianzishwa mwaka 1996 ingawa wengi waliifahamu miaka ya 2002/2004 kupitia ngoma zao kama AHA, Ushanta, Bamiza nk. Jamaa walikuwa na website iliyonyooka sana, walikua advanced.
Kwa jina la Yesu kila goti lipigweProf J alijiunga HBC, hakua miongoni mwa waanzilishi. HBC imekuwepo toka enzi za Diplomatz na wengine. Mwaka 1999 kuelekea 2000 (mwaka waliotoa album yao ya Funga Kazi) ndipo HBC na Prof J walipoteka nyoyo za Mashabiki kwa track ya Chemsha Bongo ambapo ilifungua rasmi ukurasa wa Rap na Bongo fleva Tanzania.
Ukisoma articles, X Plastaz inaonekana ilianzishwa mwaka 1996 ingawa wengi waliifahamu miaka ya 2002/2004 kupitia ngoma zao kama AHA, Ushanta, Bamiza nk. Jamaa walikuwa na website iliyonyooka sana, walikua advanced.