Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

hata mimi bado kidogo ntaweka thread hapa lol inaumaje aisee

acha tu mamii inauma sana snaa.
nashukuru niko na kids na umri umeenda ningekuwa mtoto ingekuwa aibu nakwambia.
 
Halafu nimegundua. Hii hali ya hewa[Mvua na ubaridi] ndio inasababisha wapenz ambao wana long distance wakumbukane.
 
Halafu nimegundua. Hii hali ya hewa[Mvua na ubaridi] ndio inasababisha wapenz ambao wana long distance wakumbukane.

khaaaaaa!
umesahu kwamba wengi tunapend mvua enh!
sasa subiria uone watt wengi wanazaliwaga dec hadi march wajua kwann??
 
Pole sana Binti, halafu ni G kama mimi vile....aaaaaah sio mbaya naweza msaidia tu kidogoooo tuuuu (kidding)
 
khaaaaaa!
umesahu kwamba wengi tunapend mvua enh!
sasa subiria uone watt wengi wanazaliwaga dec hadi march wajua kwann??

muda wa kujifungia ndani huo. Mtu hakawii kudai likizo kwa madai kuwa mtaa anaoish pana floods.
 
Heh, ngona nikatizame

kumbe DS kiboko ya wengi enh!
basi kuna mwingine kaja na mada midume na mijike mingine nenda uupitie utaona cha moto humo mweeeeeeeeeeeh!
bora niendelee na ugumu wangu wa kulimiss zee lenzangu khaah!
 
Mwalimu gfsonwin, pole na hongera maana distance inaongeza upendo katika ndoa wakati ikipungua na upendo au kumissiana kunapungua. Sie tulionao beneti tunatamani hata wange safiri kidogo. Pole ni kwa ubinadamu na nadhani utayashinda majaribu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom