Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Umetiririka vyema, usijali atakuja tu.
amen mkuu
asante sana kakaMwl gfsonwin hongera sana! Am proud of you aisee!
Kuongea kwenye kadamnasi kutasaidia kidogo kupunguza hilo gape la kummiss shem!
Hila inabidi utafute muda uende kumtembelea bhana yani mwaka mzima lazima hata yeye ame kumiss pia! Fanyafanya mwl!
Hii itasaidia kulinda ndoa yako!
Aisee i wish wanawake wote wangekuwa hivi!
ubwabwa wa chukuchuku kwi kwi kwi.
aisee nimeovadrafuti mushahara; naomba lifti ya wikiendi. watoto wakiniona mapema hivi home hawakawii kuniuliza kama naumwa.
asante sana kaka
ngoja nizichange niende nikalee ndoa lolz!
Nimefanyaje jamani?haoni mimi nimekuwa msomaji tu lol Kongosho noooma mh ila cant wear your shoes kwani ile miezi 3 haijakwisha.
Unapokea madafu?hahahhahah! nahitaj mchango wako japozifike $2,250 wasilisha kwa mhazini wangu Kaunga
mamiiiiiiiiiiiiiii weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mbavu zangu khaaaaaa!
hivi imekuwaje kwanza ukamkumbuka sikamona??
unajua hata ya kichina kuna origino na feki
sasa hapa utakutana na feki za kichina.
He he he, mie simo, huyo DS namuogopa mnohahaha nimeona kinyume chake, ref Kongosho apo juu lol
seriously kwani Da Sophy ana issue na gfsonwin au ni sawa na ungesema snowhite tu? #justthinking
mmh! hali hii hadi masika iishe nitakoma.
konngosho hata za madafu napokea ishu ni pesa tu.
hata mimi bado kidogo ntaweka thread hapa lol inaumaje aiseeanachokifanya huko hakimruhusu kuwa na familia kwasasa mpaka baada ya muda kidogo.
Mmh, basi tu, ujue haya mambo yanaleta akili sana
we acha tu, bora uchunge mapema
He he he, mie simo, huyo DS namuogopa mno