Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Atakuwa hivi?

SDC10887.JPG
 
Tena hakuna hawara

Tena mie huwa nawaamkia na goti napiga, sina hiyana

Ya nini nimnunie mwanamke mwenzangu kwa nisichoweza kukila?

unaambiwa ukifika nyumbani ukamkuta mwanamke/mwanamke amefunga kitenge cha baba/mama yako basi huyo ndo baba/mama yako (hakunaga hawara apo)
 
Tena hakuna hawara

Tena mie huwa nawaamkia na goti napiga, sina hiyana

Ya nini nimnunie mwanamke mwenzangu kwa nisichoweza kukila?

yaani hebu sema vzr hapa
huwez kumnunia mwanamke kama wewe ndo mwizi ama kama ndo unaibiwa??
 
Jamani, mwacheni ajilie vyake, kasotea sana ujue?

Miaka 7 si mchezo, yaani sasa hivi ananipika na kunipakua tu

Mie nimetulia tuli, kama mchele wa Kyela, anitie viungo haya, anile chukuchuku hewala

Ni katika harakat za kumlinda Zombie
 
sasa nimnunie wakati anamkwiba baba?

Ila akimgusa zombie, namzalisha bila ujauzito wala pitosini

yaani hebu sema vzr hapa
huwez kumnunia mwanamke kama wewe ndo mwizi ama kama ndo unaibiwa??
 
Jamani, mwacheni ajilie vyake, kasotea sana ujue?

Miaka 7 si mchezo, yaani sasa hivi ananipika na kunipakua tu

Mie nimetulia tuli, kama mchele wa Kyela, anitie viungo haya, anile chukuchuku hewala
ila anajua unamwita zombie??
 
Jamani, mwacheni ajilie vyake, kasotea sana ujue?

Miaka 7 si mchezo, yaani sasa hivi ananipika na kunipakua tu

Mie nimetulia tuli, kama mchele wa Kyela, anitie viungo haya, anile chukuchuku hewala

hahahahaha.
copy Dark City
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom