Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Kusikia tu nimemensheniwa, unadata??

Kumbe nikaongeze limbwata, hadi utafika bei tu

Chezeiya binti wa kisukuma mwenye mwanya wewe, na miguu mizito
khaaaaaaaaaa!
babu hivi naota ama ni macho yangu tuuuuuuuuuu
 
Wee, hujagundua kinachomsumbua bibie?

Process ya kumaintain ikolojia na populesheni huwa inasumbua usipoipata kwa muda mrefu, waweza kuta mtu kajitundika miguu dirishani.

heeee unaona sasa...tayari ushaharibu huu uzi Kongosho hakyanani tena....:A S-heart-2:
 
Last edited by a moderator:
Najua hakuna washangiliaji ila watani wapo..........vp kwani, kafiwa nani??


Mwenzio anaomboleza halafu wewe unaanza kushangilia magoli ambayo hata hajui kama mpira unachezwa.....

Teacher anaomboleza mwenzio..

Babu DC!!
 
Wee, hujagundua kinachomsumbua bibie?

Process ya kumaintain ikolojia na populesheni huwa inasumbua usipoipata kwa muda mrefu, waweza kuta mtu kajitundika miguu dirishani.

heeee unaona sasa...tayari ushaharibu huu uzi Kongosho hakyanani tena....:A S-heart-2:
 
Last edited by a moderator:
Kusikia tu nimemensheniwa, unadata??

Kumbe nikaongeze limbwata, hadi utafika bei tu

Chezeiya binti wa kisukuma mwenye mwanya wewe, na miguu mizito

afu Kongosho kuna sehemu niliona unaniharibia move hivi hivi ujue? LOL sijui mmefikishana wapi wewe, Dark City na FP ......lol

khaaaaaaaaaa!
babu hivi naota ama ni macho yangu tuuuuuuuuuu

Hapa tuna kazi moja tu...moja tu..ya kupunguza wateja wa Mirembe...


Let's go....:focus:


Babu DC!!
 
Hongera sana kwanza kwa kuweza kufikisha kipindi hicho cha ndoa! Mungu akuongezee maisha na kusimamia ahadi zake katika ndoa.

Pole sana dear wangu we are in the same boat! But Mungu akupe moyo wa uvumulivu na kwa jinsi mnavyomisiana ndo mnazidi kukuza penzie lenu, endelea tu kuwa na mawasiliano ya karibu na ya mara kwa mara kwani ndiyo silaha pekee ya kuendelea kuenzi penzi haswa mnapokuwa mbali na malengo maalumu!

Jipe moyo kwani malengo yaliyowatenganisha ni muhimu zaidi kuliko hata mngekuwa pamoja mkitazamana bila kusonga mbele!

Pole sana! I know the situation your facing but piga moyo konde and speak out like this inadilute machungu na pia kupitia hii wengi kupata mafunzo.
thanks bidada kumbe siko peke yangu.
 
Hadi nyani dume anazeeka unaweza kuhesabu makovu ya mishale??

Na hapo kuna alie ambayo aliipanchi...

Acha utani mkuu......huu ugonjwa hauna kinga zaidi ya tiba sahihi kutoka kwa mteule....!!

Babu DC!!

kwa hiyo mkuu Dark City mtu akipata 'tiba sahihi kutoka kwa mteule' hawezi tena kuugua huo ugonjwa? #justthinking
 
Last edited by a moderator:
Kusikia tu nimemensheniwa, unadata??

Kumbe nikaongeze limbwata, hadi utafika bei tu

Chezeiya binti wa kisukuma mwenye mwanya wewe, na miguu mizito

Kumbe ndio maana Dark City kaniparamia vile...........kisa kukumention Kongosho, fanya hv Kongosho fanya re-valuation tena, naona value yako imeongezeka sana si unajua ardhi na majengo yana-appreciate kila siku kwa hio ni km hivyo vile, and then mpe bili akiguna tu au hata akionyesha uso wa kunyong'onyea mwonyeshe mwanya na miguu mizito toto la kisukuma................halafu mpe break time ajisachi.......km mizingue, lianzishe...........uone kilio chake!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Wee, hujagundua kinachomsumbua bibie?

Process ya kumaintain ikolojia na populesheni huwa inasumbua usipoipata kwa muda mrefu, waweza kuta mtu kajitundika miguu dirishani.

Hahahahahaaaa
Yan wewe aisee lol
Ina maana ananganyua mguu mmoja kupunga hewa maeneo ya hifadhi ya mzee mpotevu?
Teh nimecheka aisee
 
Kusikia tu nimemensheniwa, unadata??

Kumbe nikaongeze limbwata, hadi utafika bei tu

Chezeiya binti wa kisukuma mwenye mwanya wewe, na miguu mizito
snowhite snowhite hebu kuja pandee hii fasta ja[po gfsonwin kakukataza, nitamalizana naye chumbani ila Kongosho ndo ivo usimchukulie lightly anasogeza magoli ivo! ohoooo
 
Last edited by a moderator:
afu Kongosho kuna sehemu niliona unaniharibia move hivi hivi ujue? LOL sijui mmefikishana wapi wewe, Dark City na FP ......lol
Mmh, movie kali
FP 1-Konnie 2
Na hapo sijaroga bado, ni maneno laini laini tu

Ni poa tu,

Umesahau kwamba kuibiwa hakuhitaji ruhusa ya mwenye mali??


Babu DC!!!

Sasa kwa nini huwa unajidai kuomba ruhusa kwa bibi?
Una hiyana ujue?

sjui nani kakuita huko ulikokua mweeeh!

Nashangaa sijui huu uzi umenipitaje?
Mwaya, ifuate huko iliko, ipandie hata ndege bana
Pesa makaratasi, hasara roho

Afu ya kuifungia safari hunoga,nna ka uzoefu hako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom