Umeona eeh
Wanapenda tuuzunguke mbuyu wee, wakati twaweza kuukumbatia
mmh! heri yenu wenye kusherehekea siku ya wanawake.
ila ni tamu kweli manake na haya mawingu plus per diem za maandamano mbona full kujiachia??
Halafu The secretary nilishakuambia usinizoee hukomi tu...???siyo leo tu tangu kwaresma ianze yeye habari yake ni vifanyio tu.
Heheheheee hivi mdomo unanuka eeeh lol
Ngoja niende zangu kwa ndofu moja ntarudi baadae nikiwa niko na memory zangu.
Waweza kuta na mimi nina stress za kummiss Amyner wangu maana ni mwezi sasa tangu tuonane!
Halafu The secretary nilishakuambia usinizoee hukomi tu...???
:crying:Ingewezekana kukudunga busha ningeshakupa longtime sema ndio hivyo structure yako hairuhusu:crying:
Halafu The secretary nilishakuambia usinizoee hukomi tu...???
:crying:Ingewezekana kukudunga busha ningeshakupa longtime sema ndio hivyo structure yako hairuhusu:crying:
Heheheheee ulifumba mdomo?khaaa! yaani ulivyoiandika sentensi ya kwanza nimeskia kichefuchefu khaaaaaaaaaaa!
baadae nikajua hivi kumbe ni utani khaaaa! maneno kama haya yasitangulie sentensi zako bana
btw najua leo siku ya mwanamke basi mtawatumia vyema wanawake wenu
Heheheeee la matiti sio baya yan nakosa pa kulidunga!ukimdunga busha dunga la matiti na yeye anakudunga mimba sijui nani atataisha.
Heheheheee ulifumba mdomo?
Duh haya ngoja niwasiliane na swthrt aje nimtumie hadi siku ya wamama na wadada iishe!
Hivi mashoga wao siku yao ni leo au maana kwa wanaume hawamo na kwa wadada sijui kama wamo!