Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
Bora na wewe umeona....
Hivi tulipowambia wababa kuwa ni marufuku kulia lia mbele za watu.....wadau wa upande wa pili tuliwambiaje??
Naomba unikumbushe.......
Kwa dizaini hii...wale wa miezi hadi mwaka watakuwa ICU....
Kweli ni mabadiliko ya tabia nchi yamemfikisha hapa mzee mwenzetu....??
Wapi FP na Kaizer??
Babu DC!!
mkuu mwenzangu Dark City huyu nitamfunda pembeni kabisaaaaaaa baada ya kufanya thorough analysis
Maana apo juu nimeona kuna watu wanaunganisha dots, tangu lini gari ya kuvutwa ikaovateki?
Hebu ngoja kwanza Asprin ako kwen huu uzi
Last edited by a moderator: