Njoo kwangu hutajutia uamuzi huothanks but kiu yangu ya kumiss bado haikatiki. sijui nifanyeje.
labda Kaunga anisaidie cha kufanya.
Napia nmm naona ni hatua nzuri mliyofikia ya kumisiana coz inaimarisha penzi. mkikutana itakua kama ndio kwanza mnatongozana.
Sipati picha sijui itakuwaje siku hiyo!
khaaaaaaaaa! kuna vichwa jf i can't you lol!Kulingana na mazingira watakayokuwepo vitu vingi vitaumia wakati wao wanafurahi kuonana..kama ni kwenye nyasi,nyasi zitapata shida maana watahug na kukumbatiana huku wakiruka ruka kwa furaha kwa muda na isivyo kawaida...kama itakuwa sehemu yenye watu wengi watakuwepo wenye kukereka maana furaha ya hawa watu itaakuwa kubwa na mara nyingi furaha ikizidi wanakuwepo wanaoona kama kero kwa wao waiohusika..na pia kama nyumbani kuna mifugo kama kuku,mbuzi and the like..inaweza kula kisu kwa mpigo kuhitimisha furaha..
Kwa kweli umbali si mzuri sana kwa wapendanao ila kupoteana kwa muda katika hali kama hii huleta faraja kubwa mnapokuja kuonana though ikiwa ni zaidi ya miaka 3 ni upweke unazidi..cha muhimu ni kuwa na mawasiliano ya mara kwa mara..at least twice/thrice in a week
Mwenzio anaomboleza halafu wewe unaanza kushangilia magoli ambayo hata hajui kama mpira unachezwa.....
Teacher anaomboleza mwenzio..
Babu DC!!
khaaaaaaaaaa!
babu hivi naota ama ni macho yangu tuuuuuuuuuu
heeee unaona sasa...tayari ushaharibu huu uzi Kongosho hakyanani tena....:A S-heart-2:
Kwa kujivunga wee mzeeHapa tuna kazi moja tu...moja tu..ya kupunguza wateja wa Mirembe...
Let's go....:focus:
Babu DC!!
He he, convict me, am guilty as charged:bange:Huyu dawa yake ni moja....
Lazima akiendekeza bange zake tunamchapa :ban:
Babu DC!!
Kumbe ndio maana Dark City kaniparamia vile...........kisa kukumention Kongosho, fanya hv Kongosho fanya re-valuation tena, naona value yako imeongezeka sana si unajua ardhi na majengo yana-appreciate kila siku kwa hio ni km hivyo vile, and then mpe bili akiguna tu au hata akionyesha uso wa kunyong'onyea mwonyeshe mwanya na miguu mizito toto la kisukuma................halafu mpe break time ajisachi.......km mizingue, lianzishe...........uone kilio chake!!!!!!!
Hahahahahaaaa
Yan wewe aisee lol
Ina maana ananganyua mguu mmoja kupunga hewa maeneo ya hifadhi ya mzee mpotevu?
Teh nimecheka aisee
kumbe watu wana experience tofauti tofauti humu enh!
Ayaaaaaaaa pole sana ticha................mimi nimejua mwenzio yupo mbele kule ughaibuni anasaka chapaa!!!!!!!!
Ngoja ni-prove, nitafanya check and balance!!!!
Ulisahau??? wanaojua kupenda, hupendwa?wewe ngo G??
nimekuelewa mdogo wangu na nipamprintia nimpe nikiwa nime highlight comment yako.