Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Sasa ugumu uko wapi dada??

Diagnosis tumeshapatia, dawa tumeshakuandikia, ...mbona sasa hutaki kuzinywa??

Kwani tiketi ni shilingi ngapi mpendwa??

Naoan snowhite anakaribia kuanzisha mchango ujue....

Babu DC!!
babu mi sitaki utani na haya makitu!
mwali wangu najua alivo na kifua!
ninapoona amefika hapa najua nini kinapita akilini mwake saa hii !najua
mi nna wiki tu hapa sipo home nahisi akili inaniruka !ah itakuwa hizo 365 1/4(ehn babu au umesahau huu mwaka ni mfupi)mi sio akili za jikoni tuu hata za jiografia nimo babu! oh!

Mjukuu DC !!
 
kesho brajeck kwakweli nitakuwa na cacico wangu japo aniliwaze njoo mdogo wangu


Eti nini??

Kwani cacico ndiye G wako??

Hebu basi usifanye mzaha kwenye issue sensitive kama hii teacher...!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Eti nini??

Kwani cacico ndiye G wako??

Hebu basi usifanye mzaha kwenye issue sensitive kama hii teacher...!

Babu DC!!
she is not but huwaga ni rafiki yangu sana na mara nyingi nikitaka kutoka for coffee basi natoka nae.
kuhusu kumfuata G wangu sio tatizo ngoja nifanye logistics as ni mbali kidogo
 
Mwita Maranya niko na wakati mgumu sana sana, manake hali yangu kimwili na kiakili havina mawasiliano tena

gfsonwin nimekusoma vizuri sana mpendwa. Mwenyezi Mungu yuko pamoja nawe that's why pamoja na changamoto zote ulizonazo lakini bado umeweza kusimama imara na kukabiliana nazo. Sina la zaidi la kusema isipokuwa kukutakia kila lililo jema na uvumilivu.
 
Last edited by a moderator:
dah! mmenifanya nicheke wapedwa wangu


Unajua tuko serious wenzio??

Hebu malizia basi kazi ya kupack....after all, unahitaji kufuli kama 2 na jeans...

Mambo mengine ni baada ya hitimisho..

Anything else na makorokoro ya mama Kle tuyakutuma kwa DHL....

dhl_logo.gif


Babu DC!!
 
babu mi sitaki utani na haya makitu!
mwali wangu najua alivo na kifua!
ninapoona amefika hapa najua nini kinapita akilini mwake saa hii !najua
mi nna wiki tu hapa sipo home nahisi akili inaniruka !ah itakuwa hizo 365 1/4(ehn babu au umesahau huu mwaka ni mfupi)mi sio akili za jikoni tuu hata za jiografia nimo babu! oh!

Mjukuu DC !!

mwali jahazi linazama hili.
 
mmmh! na kweli inabidi iwe hivyo

ahahahhaha itabidi iwe hivo banaaa
kisa cha kufanya vitu visahau kazi yake nini vikafikir kazi yake ni kupiga vigelegele nini?
Mambo ya mgawanyo wa kazi bana ,AREA OF SPECIALIZATION !
kila eneo liwe na kazi yake na hakuna KUTEGEA!
 
Unajua tuko serious wenzio??

Hebu malizia basi kazi ya kupack....after all, unahitaji kufuli kama 2 na jeans...

Mambo mengine ni baada ya hitimisho..

Anything else na makorokoro ya mama Kle tuyakutuma kwa DHL....

dhl_logo.gif


Babu DC!!

asante sana babu
 
ahahahhaha itabidi iwe hivo banaaa
kisa cha kufanya vitu visahau kazi yake nini vikafikir kazi yake ni kupiga vigelegele nini?
Mambo ya mgawanyo wa kazi bana ,AREA OF SPECIALIZATION !
kila eneo liwe na kazi yake na hakuna KUTEGEA!

kama low of use and disuse ina apply basi hivi ambavyo ni dormant kwangu ni vestigial kwasasa.
 
babu mi sitaki utani na haya makitu!
mwali wangu najua alivo na kifua!
ninapoona amefika hapa najua nini kinapita akilini mwake saa hii !najua
mi nna wiki tu hapa sipo home nahisi akili inaniruka !ah itakuwa hizo 365 1/4(ehn babu au umesahau huu mwaka ni mfupi)mi sio akili za jikoni tuu hata za jiografia nimo babu! oh!

Mjukuu DC !!


Ngoja nimwite teacher gfsonwin asome tena hii post....

Mie nimesema kuwa nikimaliza mwezi nakaribia kupelekwa Mireembe....

Wewe una week tu, unakaribia kuvua kila kitu....

Ni ushuhuda wa watu wawili kutoka independent camps...

What else does she need....??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nimwite teacher gfsonwin asome tena hii post....

Mie nimesema kuwa nikimaliza mwezi nakaribia kupelekwa Mireembe....

Wewe una week tu, unakaribia kuvua kila kitu....

Ni ushuhuda wa watu wawili kutoka independent camps...

What else does she need....??

Babu DC!!

ila babu wewe na snowhite siwawez mweeeeeeeeh!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nimwite teacher gfsonwin asome tena hii post....

Mie nimesema kuwa nikimaliza mwezi nakaribia kupelekwa Mireembe....

Wewe una week tu, unakaribia kuvua kila kitu....

Ni ushuhuda wa watu wawili kutoka independent camps...

What else does she need....??

Babu DC!!

mi nashanga!
yani nashanga kabisaa!
mwali hivi kale kabegi ka ngozi si kapo
fanya utaratibu i see!
yani humo unaweka passport tuuuuu!
eti babu Dark City kwani ana haja ya kubeba nguo?
kwani anaenda kufanya kazi za flaviana matata,ala!
 
Last edited by a moderator:
Mahaba ya dhaaati.....yameniiingiaa....yangu tathmini mimi.....!
Pole dada gfsonwin
Binafsi wife hatokaa aende mbali namimi ni bora awe Goal keeper tu lol
Kweli tutapendwa wanaume mh nimehisi km naambiwa na Amyner vile lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom