Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Namiss sana huyu mtu msinishangae!!

Jamani mwaka 2002/4/21 ilikuwa ni siku ya ajabu sana maishani mwangu as ilizima taa ya ukapera na kuwasha taa ya u-mke wa mtu.

sijui nini kipo akilini mwangu leo, manake hata kazini sijaenda, but i feel like nimtakie hubby wangu happy anniversary ya 11 yrs ya ndoa wakati siku haijafika. I know kwa hii miaka 10 iliyopita haikuwa migumu sana kwetu, but pia haikuwa rahisi. najua aliponikosea na nilisamehe na hata pale nilipokosea nilikiri na akasamehe na kusahau.

usiku wa leo nimelala na mawazo sana as if labda ndio nasubiria siku ya ndoa, nimemuwaza sana hadi kujikuta nashindwa hata kuconcetrate kwenye mambo ya msingi, i wish angekuwepo karibu labda angejua nnavyojiskia, nimemuemail, nimeskype nae but bado kiu yangu haijaisha, natamani nipae niende alipo labda nikisema nae usoni atajua jinsi gani ambavyo najiskia juu yake. ameniambia mengi matamu lkn bado kiu haijakatika nimetizama nguo na viatu vyake nikajikuta nalia wapendwa kwa kummiss mume wangu!!!!!!!!!!

seriously G nakumiss honey..................yaani hata aya matakataka ya skype hayana maana kwangu maana ni uwepo wako tu nauhitaj kwangu.
aaaggggggggrrrrrrrrrrrrrrrrr nashindwa kufanya kazi mwenzenu nisaidieni. mbaya zaid sasa na yeye anaumia the same as mimi kiasi kwamba anafika mahali anasema aache kilichompeleka arudi nyumban but nikifikiria life wise hiyo sio akili.

jamani staki mtu anishauri ila tu nataka nishee na nyie experience hii ninayoipata ili mjue kabla ya kuamua kutengana kwaajili ya kwenda kutafuta maisha mnatakiwa mfikirie mtafanyaje kwa maisha yaliyobaki.
cacico na snowhite msiseme kitu kwenye huu uzi.

Miss you sana sana baba Klein wangu mwaaaaaaaaaah!

Some of us will die without hearing 'these words' from our loved ones...that hubby of yours is hell-of-a lucky dude!
 
I may not always contact you, but our distance makes me miss you. I may not always stay in touch, but I care for you very much. I may not always say hi, but I hope never to say goodbye. I may not prove to be the perfect one for you, but I hope my love, never fades to an end.

Dar - Mwanza sio mbali !!!!
 
Kwa akili tu....

Yaani wewe snowhite ni aina ya watoto ambao mzazi anajipiga kifua na kutamba mbele ya wazee wenzake kwamba nguvu zake haijapotea hata chembe.....return on investment is optimal and maximamu!!



Mzani umalalia upande gani gani?

Haya mambo suluhu zake hazifanani ujue....lol!!





Hata mie naona ban ya kwenye hii thread inanijia...lol

Babu DC!!

tatizo sasa yote viianaenda sambamba.......................damn it!
sijui nataka nikumbatiwe, hapana nahs nataman tu kuinusa harufu yake, lkn hapana nataman tu kumfeel yeye
dah! napenyewe naona haitoshi basi ata tu tulale bana aaaaaaaaaaaaaggggggggggggggrrrrrrrrrrrrrhhhhhhhhhhhhhhh!
 
tatizo sasa yote viianaenda sambamba.......................damn it!
sijui nataka nikumbatiwe, hapana nahs nataman tu kuinusa harufu yake, lkn hapana nataman tu kumfeel yeye
dah! napenyewe naona haitoshi basi ata tu tulale bana aaaaaaaaaaaaaggggggggggggggrrrrrrrrrrrrrhhhhhhhhhhhhhhh!
daaaaaaaamn!
dah!
 
Halafu una muda gani toka upate hii likizo ya lazima??

Naona hapa kuna psychological depression...

Babu DC!!!
Babu acha tu, ukiona nalia nalia hapa ujue mti mkavu unataka kuchimbwa dawa.
sio rahisi kama utani tunaoweza kuufanya hapa,
nimefika ku pre empty ili nipate nafuu akilini mwangu

haya maskypu naona yana watu na watu mimi wala hayanisaidiii manake siwez kumgusa babu
mwaka mzima unaishia kumwona kwenye keybodi na screen kama mtangazai wa cnn??
 
tatizo sasa yote viianaenda sambamba.......................damn it!
sijui nataka nikumbatiwe, hapana nahs nataman tu kuinusa harufu yake, lkn hapana nataman tu kumfeel yeye
dah! napenyewe naona haitoshi basi ata tu tulale bana aaaaaaaaaaaaaggggggggggggggrrrrrrrrrrrrrhhhhhhhhhhhhhhh!


Tuko pamoja....ndiyo maana nikakukuuliza toka mwanzo....

Hivi umepoteza ujanja wako wote wa porini au na wewe hukwenda JKT (Jando/Unyago wa Nyerere)??

Kitu na box mdogo wangu....the buck stops there......lol!!

Babu DC!!
 
Some of us will die without hearing 'these words' from our loved ones...that hubby of yours is hell-of-a lucky dude!

really?? i pray that you hear sweeter than these Dr.
 
Kwa akili tu....

Yaani wewe snowhite ni aina ya watoto ambao mzazi anajipiga kifua na kutamba mbele ya wazee wenzake kwamba nguvu zake haijapotea hata chembe.....return on investment is optimal and maximamu!!



Mzani umalalia upande gani gani?

Haya mambo suluhu zake hazifanani ujue....lol!!





Hata mie naona ban ya kwenye hii thread inanijia...lol

Babu DC!!

umeona enh babu!
mimi ndo mwenywe baana!nna akili mpka kichwa kinauma

Mjukuu DC !!
 
Tuko pamoja....ndiyo maana nikakukuuliza toka mwanzo....

Hivi umepoteza ujanja wako wote wa porini au na wewe hukwenda JKT (Jando/Unyago wa Nyerere)??

Kitu na box mdogo wangu....the buck stops there......lol!!

Babu DC!!
babu nilichogundua bana kila chungu na mwiko wake na kila ngoma na mpigaji wake.
 
Hapana usitamani kuwa na mabawa maana hutaweza kuwa nayo............najua kinachokusumbua ni mapenzi ya kweli kwa hubby wako...........but himili pressure utakuwa binadamu mzuri, ukishindwa kuhimili utakuwa binadamu mbaya, sawa ntoto nzuri...... pole sana, vumilia kidogo atakuja nimewasiliana nae jana nimemwambia hali halisi, halafu akija atakuletea pipi ya kijiti, na akienda sokoni atakuletea andazi, pale dukani atakuletea cola na ice cream, kuna nguo nzuri pia ameiona huko ameshakununulia na ameweka kwenye begi amefunga kwa lebo imeandikwa "kwa ajili yako", akija si utakubali kutoka nae out eehhh maana amepanga akutoe out ya maana.............vumilia mumiiii: nataka nikuimbie wimbo mmoja hv unasema: ukimalizaaaa kaaaziiii unavalishwa taaaajii......................sasa imba hivi: ukimaliza kuvumilia unavalishwaaaa peeenzi.......endelea kuimba nakuja nimeona miss call yake ngoja niangalie..................!!!!!!!!!!!!!!!

nina siku 4 sijacheka ila kwa post hii mnimejikuta nacheka thanks
 
Babu acha tu, ukiona nalia nalia hapa ujue mti mkavu unataka kuchimbwa dawa.
sio rahisi kama utani tunaoweza kuufanya hapa,
nimefika ku pre empty ili nipate nafuu akilini mwangu

haya maskypu naona yana watu na watu mimi wala hayanisaidiii manake siwez kumgusa babu
mwaka mzima unaishia kumwona kwenye keybodi na screen kama mtangazai wa cnn??

Hapa sasa unahitaji maamuzi magumu.....

Kama mwaka umepita, mfuate huko huko hata kama unahitaji msaada wa NASA....

It is too much and risky kukanyanga Christmas mbili bila kuiona mbingu....

Amua sasa.... enough is enough, kimbilia wanapouza ticket haraka kabla hujaanza kuokota makopo...

Hata mwenzio atakuwa keshakausha maduka ya watu kwa matumizi ya sabuni....lol

Sitaki kusema zaidi.....jitendeeni haki bwana!!

Kwani mko jela?

Babu DC!!
 
sijui kama ni funzo kwa wengine ila najua tu nimeeleza ninavyojiskia moyoni..................ukweli leo siko poa nimemiss sana sana kiasi kwamba natamni nipewe poo niletewe tuongee kisha arudi kwenye kazi zake.

Huko aliko mpenzi wako hakuna huduma za Fastjet?
 
Hahahahahahah,

Unajua bwana, hii miili ina elasticity limit ujue.....

Babu DC!!
yani hapa ukisikia kisu kimegonga mfupa babu basi ndyo leo!
yani hapa ndo ule wimbo tx moshi aliimba anasema ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo
ndyo vile!
 
umeona enh babu!
mimi ndo mwenywe baana!nna akili mpka kichwa kinauma

Mjukuu DC !!


Halafu unaanza kunipa wasi wasi,

Zamani watu walikuwa wakiona mtu anaokota makopo, wanasema kwamba alikuwa na akili nyingi....

Ila nitakuombea mjukuu wangu. Pia nitawaombea nyote ili mtuhumiwa asikufikishe kwenye njia panda kama teacher gfsonwin...

Hata hivyo anastahili heko.....kwangu mimi, the maximum I managed was 3 months...yeye kapiga hiyo mara 4...

Anayo haki ya kurun mental aiseee!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom