Geofrey Maseta
JF-Expert Member
- Nov 24, 2015
- 1,115
- 917
Bora kuwa wapolini lkn unajitambua kuliko kuwa wa mjini lkn hujui duniani nn kinaendelea......majibu ya watu wa lumumba cku zote ni ya hovyo hovyo
Mmea ulisha muathiri sasa amebaki kuwa kama kitambaa cha kukata viraka kinachosubiri suruali itoboke.haah haah
Huo upambe anaounyesha Mwampamba kwa mabosi wake wa CCM, nadhani ameamua kupita njia za mwenzake Humphrey Polepole za kuusaka u-DC kwa 'kuuza' sura kwenye luninga!
Unaweza kutuambia ni kitu gami Mtella Mwampamba ameongea ukamwelewa? Zaidi anadai waandishi wa habari wameruhusiwa kuingia bungeni, akaulizwa wanafanya nini kama wanazuiwa kupiga picha? Kimnya! akabaki kuuma mdomo.Kama ndo umetoka porini sahz huwezi kumwelewa,lakini nyumbu wenzako ambao wamekuja mjini muda mrefu wanamwelewa na si uelewa wa kinafiki.
Ni mbinu ya kutafuta kuonekana achaguliwe mkuu Wa wilaya.kutakana na kuponda upinzani kwa moyo Wa kiendawazimu ndio sifa ya kuchaguliwa ukuu Wa wilaya .Yupo kwenye kipindi cha mada moto Ch10, Sielewi anachokiongea, Sijui ni kwanini amekubali mwaliko ch10, Sijui ni kwanini anajitoa ufahamu kiasi hicho! Sijajua uelewa wake ukoje.
Sikutaka kumpa coverage humu ajadiliwe lakini nimemhurumia sana maana hana hadhi ya kumjadili humu. Nahisi ni kama amepanic.Sitaki kwenda mbali ndugu angalia kipindi cha MADA MOTO Chanel 10.
Nashangaa sana CCM kuchukua wababaishaji hawa, wanashindwa kuchukukua vijana werevu sijui ni kwanini!Mtela jana ametia aibu sidhani kama anaweza kurudi tens pale Ch10.Wallah nakuambia uelewa wa vijana wa CCM na CHADEMA huwezi kuufananisha hata kidogo, CCM wengi ni njaa wameamua kua watumwa.Yaani bawacha,rudia kusoma ulichoandika...hukutaka kumjadili humu...lakini naona hadi mwenyekiti wenu anamjadili....na hizi ndio akili za abunuasi..Ijumaa unagoma kujadili hotumba ya PM,J3 mbowe na genge lake wanaingia bungeni....ujinga....Hutaki kumpa coverage ili ajadiliwe lakini unaanzisha mada kumjadili?
Huenda kutetemeka kwenye media pia kumemfanya kushindwa kuongea, maana alikua anatetemeka kweli sikujua tatizo lilikua nini!Ni mbinu ya kutafuta kuonekana achaguliwe mkuu Wa wilaya.kutakana na kuponda upinzani kwa moyo Wa kiendawazimu ndio sifa ya kuchaguliwa ukuu Wa wilaya .
Sitasahau waziri mkuu mstaafu mhe. Jaji Joseph sinde Warioba alivyodhalilishwa na kijana mdogo sawa na mwanae ambaye sasa ni mkuu wa mkoa.Ili uheshimike na uteuliwe nyadhifa yyte ndani ccm ama serikali kupitia ccm lazima uwe mtu wa hovyo hovyo hv...lkn mwenye akili timamu huwezi kupewa nafasi...ndo maana vijana walioko kule ni watu wakujitoa ufahamu