Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,255
Washaona ni njia ya mkato kuelekea kwenye neemaNaona anataka kuchukua nafasi ya pole pole! Maana chanel ten imempa fursa pole pole.
Washaona ni njia ya mkato kuelekea kwenye neemaNaona anataka kuchukua nafasi ya pole pole! Maana chanel ten imempa fursa pole pole.
umewahi kumsikiliza Dr Bana ? unaweza ukalia .Kama kigezo cha kuteuliwa ni kijipendekeza to the maximum afadhali kufanya hata vibarua vya ujenzi kuliko haya mambo wanayofanya vijana
Aisee....kuishi kwingi kuona mengi!Dr Bana ni aibu huwezi amini kama ni msomi ngazi ya PhD jinsi anavyotia aibu kwenye uchambuzi wa masuala mbali mbali yahusuyo siasa za nchi hii