kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,183
KIKI hizi jamaani zitawaumiza WENGI
Wanaganga njaa, wanatumwa na tumbo. Wachumua tumboNashangaa sana CCM kuchukua wababaishaji hawa, wanashindwa kuchukukua vijana werevu sijui ni kwanini!Mtela jana ametia aibu sidhani kama anaweza kurudi tens pale Ch10.Wallah nakuambia uelewa wa vijana wa CCM na CHADEMA huwezi kuufananisha hata kidogo, CCM wengi ni njaa wameamua kua watumwa.
Na hawa vijana wameanza kuuza sura luningani, wamebakisha kumzaba kibao mzazi. Na kweli, ukiangalia walivyokuwa wana angalia mzee Mkinga walitamani kumzaba kibao kwa jinsi alivyo kuwa akiwashushua live. Sijui kama mzee wa watu kafika salama.Sitasahau waziri mkuu mstaafu mhe. Jaji Joseph sinde Warioba alivyodhalilishwa na kijana mdogo sawa na mwanae ambaye sasa ni mkuu wa mkoa.
Mkuu pole sana kwa kupoteza muda wako kuwatazama vichaa kama hao,yeye siku hizi anaendeshwa na tumboYupo kwenye kipindi cha mada moto Ch10, Sielewi anachokiongea, Sijui ni kwanini amekubali mwaliko ch10, Sijui ni kwanini anajitoa ufahamu kiasi hicho! Sijajua uelewa wake ukoje.
Sikutaka kumpa coverage humu ajadiliwe lakini nimemhurumia sana maana hana hadhi ya kumjadili humu. Nahisi ni kama amepanic.Sitaki kwenda mbali ndugu angalia kipindi cha MADA MOTO Chanel 10.
Mkuu hata hizo tv stations zinazo wakaribisha watu kama hao ndio zilezile za ccm wao sasa wamebakia kutangaza waganga wa kienyejiSikuwahi kumuona na kumsikiliza,kumbe ni mweupe peee,wakati mwingine waandaaji hivi vipindi muangalie watu wa kuwaalika hapo maana wanapoteza muda bure.
Anafikiri udc umeshuka hadhi kiasi hicho hadi na yeye apewe huo?Huo upambe anaounyesha Mwampamba kwa mabosi wake wa CCM, nadhani ameamua kupita njia za mwenzake Humphrey Polepole za kuusaka u-DC kwa 'kuuza' sura kwenye luninga!
Uelewa wa bavicha wa kusafisha mafisadi?Nashangaa sana CCM kuchukua wababaishaji hawa, wanashindwa kuchukukua vijana werevu sijui ni kwanini!Mtela jana ametia aibu sidhani kama anaweza kurudi tens pale Ch10.Wallah nakuambia uelewa wa vijana wa CCM na CHADEMA huwezi kuufananisha hata kidogo, CCM wengi ni njaa wameamua kua watumwa.
Kwisha habari yake huyooooUsaliti ni laana .
Umenichekesha sana jamani, nimekupenda aisee.Nafuu sikuangalia wengine tungefumua vidonda vya tumbo