Namhurumia kijana Mtela Mwampamba!

Namhurumia kijana Mtela Mwampamba!

Sijawai kukutana kijana bogus Kama huyu,yaani ka brag mpaka katia kinyaa,badala ya kutetea kaaribu sana,swali la msikilizaji limemuubua,ha imeonyesha jinsi alivyo shallow .
Kipindi cha maswali na majibu kinaonyeshwa live,je mud and huo sio wa Kazi!? That question was a bitter pil fo mtela..
The guy was caught pants down in the corner ,pole sana mtela mwampmba , leo umeonyesha how shallow you are are.
 
Ili uheshimike na uteuliwe nyadhifa yyte ndani ccm ama serikali kupitia ccm lazima uwe mtu wa hovyo hovyo hv...lkn mwenye akili timamu huwezi kupewa nafasi...ndo maana vijana walioko kule ni watu wakujitoa ufahamu
 
Mimi leo nilipitia ukurasa wa facebook wa Mtela Mwampamba. Nikakuta anaalika watu ktk kipindi channel 10

Nilichokisikia kutoka kwake ni aibu. Hana points. Hana hoja. Hana ushawishi..

Neno nililolisikia kutoka kwake ni "mimi kama kijana.." mengine yote pumba tu.

Na yule mwenzake ni pumba kama Mwampamba (A=B).. Ingawa yeye kidooogo, ana sauti ya kushawishi ingawa hana hoja. Alichokuwa akikifanya ni kukenua meno na kutikisa kichwa tu.

Kila kundi kweli lina wapuuzi wake-nilitegemea vijana wangekuwa mbele kudai uhuru wa kupata na kutoa habari. Unashangaa hawa walikwenda shule kufanya nini? Hati "ngoja nikutoe tongotongo" Mwampamba anamwambia Mzee Mkinga. Mzee Mkinga kwa kiwango cha juu aliwapeleka shule. Haikubaliki bunge liamue habari ni ipi yenye tija kwa watanzania-yaani wachuje habari.

Issue ya gharama haina mantiki kwani kuna walio tayari kulipia. Issue ya kusema watu mchana wafanye kazi wasiangalie TV/wasisikilize ni kigezo mfu basi wafunge vituo vyote vya habari mchana, na usiku hata hapa kwenye mtandao wanabakia wachache wengi wanapiga usingizi. Wengine usiku wako kazini.
 
Mzee Mkinga, baharia mzoefu wa miaka mingi. Kama Maji ya bahari yameshindwa kumtoa tongotongo,yeye Mtella ni nani. Juliana kamwacha mbali sana kwenye siasa. Mwanamke kweli anaepeleka puta hii dunia.
 
Jamani wala msimlaumi huyu bibiye ndo walivyo wanaccm wengi mf.Kibajaji hivi ana mchango gani kwa Watz zaidi ya mipasho
 
Kujitoa ufahamu ndani ya CCM ni kigezo muhimu cha kupata nafasi...maskini hawezi kukomboa maskini mwenzie vijana wanajitoa akili ili wapate u-DC.
 
Yupo kwenye kipindi cha mada moto Ch10, Sielewi anachokiongea, Sijui ni kwanini amekubali mwaliko ch10, Sijui ni kwanini anajitoa ufahamu kiasi hicho! Sijajua uelewa wake ukoje.


Sikutaka kumpa coverage humu ajadiliwe lakini nimemhurumia sana maana hana hadhi ya kumjadili humu. Nahisi ni kama amepanic.Sitaki kwenda mbali ndugu angalia kipindi cha MADA MOTO Chanel 10.
Yaani bawacha,rudia kusoma ulichoandika...hukutaka kumjadili humu...lakini naona hadi mwenyekiti wenu anamjadili....na hizi ndio akili za abunuasi..Ijumaa unagoma kujadili hotumba ya PM,J3 mbowe na genge lake wanaingia bungeni....ujinga....Hutaki kumpa coverage ili ajadiliwe lakini unaanzisha mada kumjadili?
 
Yupo kwenye kipindi cha mada moto Ch10, Sielewi anachokiongea, Sijui ni kwanini amekubali mwaliko ch10, Sijui ni kwanini anajitoa ufahamu kiasi hicho! Sijajua uelewa wake ukoje.


Sikutaka kumpa coverage humu ajadiliwe lakini nimemhurumia sana maana hana hadhi ya kumjadili humu. Nahisi ni kama amepanic.Sitaki kwenda mbali ndugu angalia kipindi cha MADA MOTO Chanel 10.
Kama ndo umetoka porini sahz huwezi kumwelewa,lakini nyumbu wenzako ambao wamekuja mjini muda mrefu wanamwelewa na si uelewa wa kinafiki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom