duh kweli inabidi kuwa careful...manake kama Lindi ni Tshs 4,000 then yeye ananunua USD 0.9 /Kg manake ni kama Tshs 1,800 ...inakuwaje hapo wakuu?
Jamaani mtoa taarifa aliye sema bei ilifika sh 4,000/= siyo sahihi na haija wahi , mfano mwaka huu ilicheza sh 1200 mpaka 2350 sasa hivi.
Jamani kama kuna mtu anakua hanataarifa sahihi atawapotosha wengine kwa kuwasadikisha taarifa zisizo sahihi.
PM ndo Nin jamani!?
Nipo Dar, lakini tarehe 14 Oct naingia porini mkuu, nawahi vuli Ifakara.
Safi sana mkuu, hii imekaa poa sana...
Nicheki PM for contacts.