Nakupenda sana Shetani

Nakupenda sana Shetani

Uwe mwanamke au mwanaume haijalishi,Kwakuwa umempenda bwana shetani mwambie akajitambulishe kwenu,taratibu nyingine zifuatwe muwe mke na mume
 
Hizi ni baadhi ya hoja zinazoweza kuibuka kutokana na nadharia za dini za mabeberu.
 
Wewe muongo hujasoma hivyo vitabu vyote, labda ulipitia tuu Biblia,
Qur-an hujaipitia popote pale wala hujauliza kwa wadau wa kitabu hicho,kuwa kinasemaje juu ya uasili wa Shetani.

Hebusoma Hii Quran sura ya 18:aya ya 50.
''Na pale
tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! basi Walimsjudia wote , isipo kuwa Ibilisi, kwa kuwa Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi.Basi Je! hivi Mnamfanya yeye IBILISI na kizazi chake kuwa marafiki badala yangu mimi Mungu?, hali wao (hao mabilisi) ni adui zenu? Hili Ni chaguo ovu mno na mbadala mbaya sana waliofanya kwa wenye kudhulumu. ''
NB:
Nimeongeza ufafanuzi ndani ya aya hii.

Kwa hiyo shetani hakuwa Malaika,bali ni katika Majini.
Unatuambia kosa la shetani ni kutomsujudia Adam???. Tupe mwanzo wa shetani?? Na mwanzo wa uovu???
 
You have qualified to become a "SATANISM" come and join our brotherhood.

《Caprichar o teu sorriso》
 
Wewe ndio umetoa ajira kwa wachungaji na mashehe na wamefaidika sana na wewe kwa kujipatia utajiri
Sadaka wanazochukua watumishi wa Mungu ni kwa ajili ya masikini, si kwa kujitajirisha wao,
Hapa huyu mpenzi wako ameingiaje.
 
Unatuambia kosa la shetani ni kutomsujudia Adam???. Tupe mwanzo wa shetani?? Na mwanzo wa uovu???
Haya sasa pokea darasa hili kwa umakini.

Mwenyezimungu aliumba viumbe wote katika ardhi isipokuwa binadamu, yeye alikuwa wa mwisho kuumbwa ,na kwa hiyo kupewa majukumu.

Lakini kabla ya kuletwa binadamu ,palikuwepo kiumbe mwingine aliyekuwa na majukumu ya kuisimamia dunia kabla ya mwana damu kuumbwa.

Viumbe hao waliitwa Majini,wao waliishi muda Mungu aliotaka kuishi na kupewa miongozo mbali mbali ya maisha, lakini hatimae walifanya ufisadi mkubwa na kuanza kuuwana wenyewe kwa wenyewe kila aina ya uovu.Walimkasirisha sana Mungu, na Mungu akaamua kuwaangamiza wote isipokuwa kitoto kimoja cha jini kilibakizwa , na Malaika wakakichukua Mbinguni na wakaishi pamoja nacho kule katika hali ya utakatifu mkubwa .

Miaka mingi ika pita na Mungu akaamua kuleta kiumbe kingine kuchukua nafasi ya Majini hapa Duniani.
Kiumbe huyo alikua babu yetu Adam na mkewe Hawa(Eva ).

Maumbile yao yalifanywa kwa Udongo na Mungu akawapulizia Roho na wakawa na Uhai.

Mungu alipopendezwa na kazi yake akawaamuru Malaika wakipe heshima kiumbe kile kwa kukisujudia ili kutukuza kazi ya Mungu, na pia kuonesha ubora wa huyo kiumbe na utukufu alio pewa mbele ya viumbe wengine, kwa kuwa huyu ndio atakuwa mtawala wa dunia sasa.

Kumbuka ndani ya Adamu ndio watazaliwa Manabii watukufu na Mitume kama Noa, Ibrahim, Mussa,Yesu na Muhammad ambao hao wote watakuwa ni watakatifu wake Mungu wtakaokuja duniani huko baadae.

Malaika wote walisujudu na kuonesha unyenyekevu mkubwa kwa Adam lakini Yule mtoto wa Kijini ambaye aliishi pamoja nao aligoma, na kukaidi amri ya Mungu.

Mungu akamuuliza ,ni kwa nini umekaidi, akajibu ''mimi ni kiumbe bora kuliko yeye huyu,umeniumba kwa muale wa moto ,wakati yeye umemuumba kwa udongo'' tunaoukanya.

Hapo Mungu akamuambia nitokee hapa ,umelaanika kuanzia leo,Hivi wewe ndio unajua kipi bora kuliko mimi nilie umba?
unakaidije amri ya aliyekuumba,unajuaje kuwa wewe ni mkuu kiasi hicho.

Hapo shetani kwa kiburi chake alionesha ukaidi na kumwambia Mungu,kuanzia leo nakuahidi Huyu kiumbe mpya uliye muumba nitamuandama yeye na watoto wake ili nikuthibitishie kuwa ni dhaifu kuliko mimi.

Mungu akamwambia ,nitokee hapa umedhalilika na ume dogoshwa mbele yangu, wewe na watakaokufuata wote nitawaadhibu kwa moto wa JEHANNAM.

Hapo Yule Jini akabadiklishwa jina na kuitwa IBILISI yaa Mpotezaji, MUASI

Unajua nini nini kilimfanya Ibilisi achukie kumsujudia ADAM?

Ilikuw ni JEALOUS kwa nini wasirudishwe majini kuwa wakaazi wa Duniani ,badala yake wakaletwa viumbe wapya?
Hivyo alitamani awe yeye ndio nafasi ya Binadamu ,lakini alisahau kuwa haya ni maamuzi ya Muumba mwenyewe, si chaguo lake ADAM.

Kuanzia hapo mikakati yake Ibilisi ilianza ya kumfitinisha ADAM na Muumba wake, na alitumia lugha ya ulaghai na kumuahidi ahadi za uongo mpaka ADAM akavunja mashariti aliyopewa na Mungu, hivyo naye adam akawa makosani, lakini babu yetu huyu mara tuu alipobaini kuwa amekosea,alimgeukia Mungu na Kumtaka Msamaha. Tofauti na IBILISI yeye alipokosea alingeza kiburi

Hii ndio tofauti kati ya BINADAMU NA MAJINI WAOVU. ibilisi alipokosea hakuomba msamha,bali alizidi kiburi
Ndo maana Binadamu alie na kiburi hata kama anakosea huitwa shetani au Ibilisi kwa kuwa hizo ndizo sifa za shetani
Niishie hapo kwa leo.

NB
Mimi Ni Muislamuamu, nimetowa andiko hili kwa mujibu wa mafundisho ya Uislamu.
Nawakilisha kwa ihsani ya Jf
 
Nimekaa nikatafari sana baadaeeee nikaja Kujua wewe shetani una uzuri wa pekee ambao wengine hawauoni.

Hivi bila wewe utajiri wa makanisa na misikiti yangetoka wapi?

Wewe ndio umetoa ajira kwa wachungaji na mashehe na wamefaidika sana na wewe kwa kujipatia utajiri

Mungu hakutaka watu wakaishi Kwake ila kwa akili zako ulitengeza kifo ili watu warudi wakaishi alikokuwa baba yao sijui nikupe zawadi gani katika hili

Yapo mengi yakukupongeza ila ngoja niishie hapa maana kila siku upendo unaongezeka juu yako.

Sent using Jamii Forums mobile app

I love the Serpent ! Bila ya Serpent tusingekuwa duniani. In the mythical story ya Bible, kuwa tuliambjwa tusile tunda la mti which is at the centre of the garden lol . With this negative suggestion, they both ate. We opened our eyes, the good and evil were clear to us, death and life became clear to us , up and down, male and female , etc etc and the opposite worked so well.

Now, if you love life here on earth, if you enjoy this life, if you wish to live forever in this life, if you wish not to die, if you hate Death , if you enjoy to make money , if you are pleased to be here, my friend utakuwa ni mwendawazimu wa hali ya juu kumchukia shetani!

Kwanza utachukiaje kitu ambacho hukioni, hujui kikoje au kinafanana Vipi ; honestly we are very stupid and mad. Yaani kosa ufanye wewe halafu useme shetani kanipitia;

how ?

Shetani ni wewe mwenyewe; malaika ni wewe mwenyewe, you choose who you wanna be gadem!

Kama Sio shetani kushawishi watu kula tunda no one could have been on earth. Huoni Sasa hivi Una enjoy kutumia private parts zako, Sasa Kama Sio shetani ungezijua hizo; —follow your mythical bible

Acheni mambo ya ajabu eti utamsikia mtu I hate devil!!!! Hujawahi kumuona, humjui and probably hakujui, how do you hate in such scenario.

Two things are infinite in this world
1. The Universe
2. Man’s stupidity




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mtoa mada Hilo sio geni hapa duniani...

Wapo waliomchagua Mungu, wakamtumikia na kupata baraka, miujiza, mafanikio kulingana na Imani, maombi na matendo yao.

Wapo waliomchagua Shetani/ibilisi nao ujulikana kwa matendo ya maovu Kama ujambazi, ukahaba, ushirikina nk.

Wapo waliozidisha upendo kwa Shetani na kuuza nafsi zao na kufanya maagano ili kutimiza malengo fulani mf. Utajiri, umaarufu ktk Sanaa, utawala....

Ktk maandiko: Yesu alijaribiwa na ibilisi, alimwambia nisujudie ili ampe miliki ya dunia na fahari yake. Hapo Ina maana ukimsujudia ibilisi utapata kile ulichomuomba kwa kuweka maagano na masharti(kafara nk)

Pia majaribio, mitihani kwa maisha magumu yanakuwepo Sana kwa wale wenye Imani na kumfuata Mungu.

Ktk maandiko: Ayubu alikuwa na Imani na Mali lakini alipata mateso, matatizo, umasiki ili kujaribiwa Imani yake. Ni Mungu alimtuma Ibilisi kwenda Kumjaribu.

Kumbuka kisa Cha Lazaro na Yule Tajiri. Na ule mfano Tajiri kuurithi ufalme wa mbingu Na urahisi wa ngamia kupita ktk tundu la sindano.

Chaguo lako ndio Maisha yako
 
Shetani ndio anatawala dunia
Ndomana kila kitu kinafanyika kishetani shetani
Huo ndiyo ukweli!

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Haya sasa pokea darasa hili kwa umakini.
Mwenyezimungu aliumba viumbe wote katika ardhi isipokuwa binadamu, yeye alikuwa wa mwisho kuumbwa ,na kwa hiyo kupewa majukumu.
Lakini kabla ya kuletwa binadamu ,palikuwepo kiumbe mwingine aliyekuwa na majukumu ya kuisimamia dunia kabla ya mwana damu kuumbwa.
Viumbe hao waliitwa Majini,wao waliishi muda Mungu aliotaka kuishi na kupewa miongozo mbali mbali ya maisha, lakini hatimae walifanya ufisadi mkubwa na kuanza kuuwana wenyewe kwa wenyewe kila aina ya uovu.Walimkasirisha sana Mungu, na Mungu akaamua kuwaangamiza wote isipokuwa kitoto kimoja cha jini kilibakizwa , na Malaika wakakichukua Mbinguni na wakaishi pamoja nacho kule katika hali ya utakatifu mkubwa .
Miaka mingi ika pita na Mungu akaamua kuleta kiumbe kingine kuchukua nafasi ya Majini hapa Duniani.
Kiumbe huyo alikua babu yetu Adam na mkewe Hawa(Eva ).
Maumbile yao yalifanywa kwa Udongo na Mungu akawapulizia Roho na wakawa na Uhai.

Mungu alipopendezwa na kazi yake akawaamuru Malaika wakipe heshima kiumbe kile kwa kukisujudia ili kutukuza kazi ya Mungu, na pia kuonesha ubora wa huyo kiumbe na utukufu alio pewa mbele ya viumbe wengine, kwa kuwa huyu ndio atakuwa mtawala wa dunia sasa.

Kumbuka ndani ya Adamu ndio watazaliwa Manabii watukufu na Mitume kama Noa, Ibrahim, Mussa,Yesu na Muhammad ambao hao wote watakuwa ni watakatifu wake Mungu wtakaokuja duniani huko baadae.

Malaika wote walisujudu na kuonesha unyenyekevu mkubwa kwa Adam lakini Yule mtoto wa Kijini ambaye aliishi pamoja nao aligoma, na kukaidi amri ya Mungu.

Mungu akamuuliza ,ni kwa nini umekaidi, akajibu ''mimi ni kiumbe bora kuliko yeye huyu,umeniumba kwa muale wa moto ,wakati yeye umemuumba kwa udongo'' tunaoukanya.

Hapo Mungu akamuambia nitokee hapa ,umelaanika kuanzia leo,Hivi wewe ndio unajua kipi bora kuliko mimi nilie umba?
unakaidije amri ya aliyekuumba,unajuaje kuwa wewe ni mkuu kiasi hicho.

Hapo shetani kwa kiburi chake alionesha ukaidi na kumwambia Mungu,kuanzia leo nakuahidi Huyu kiumbe mpya uliye muumba nitamuandama yeye na watoto wake ili nikuthibitishie kuwa ni dhaifu kuliko mimi.

Mungu akamwambia ,nitokee hapa umedhalilika na ume dogoshwa mbele yangu, wewe na watakaokufuata wote nitawaadhibu kwa moto wa JEHANNAM.

Hapo Yule Jini akabadiklishwa jina na kuitwa IBILISI yaa Mpotezaji, MUASI

Unajua nini nini kilimfanya Ibilisi achukie kumsujudia ADAM?
Ilikuw ni JEALOUS kwa nini wasirudishwe majini kuwa wakaazi wa Duniani ,badala yake wakaletwa viumbe wapya?
Hivyo alitamani awe yeye ndio nafasi ya Binadamu ,lakini alisahau kuwa haya ni maamuzi ya Muumba mwenyewe, si chaguo lake ADAM.

Kuanzia hapo mikakati yake Ibilisi ilianza ya kumfitinisha ADAM na Muumba wake, na alitumia lugha ya ulaghai na kumuahidi ahadi za uongo mpaka ADAM akavunja mashariti aliyopewa na Mungu, hivyo naye adam akawa makosani, lakini babu yetu huyu mara tuu alipobaini kuwa amekosea,alimgeukia Mungu na Kumtaka Msamaha. Tofauti na IBILISI yeye alipokosea alingeza kiburi

Hii ndio tofauti kati ya BINADAMU NA MAJINI WAOVU. ibilisi alipokosea hakuomba msamha,bali alizidi kiburi
Ndo maana Binadamu alie na kiburi hata kama anakosea huitwa shetani au Ibilisi kwa kuwa hizo ndizo sifa za shetani
Niishie hapo kwa leo.
NB
Mimi Ni Muislamuamu, nimetowa andiko hili kwa mujibu wa mafundisho ya Uislamu.
Nawakilisha kwa ihsani ya Jf
mkuu usimfuananishe licifer na vitu vya kijingaa (majin) lucifer sio jin ni malaika bora kuliko wote labda kama mungu aliumba mwingine
 
I love the Serpent ! Bila ya Serpent tusingekuwa duniani. In the mythical story ya Bible, kuwa tuliambjwa tusile tunda la mti which is at the centre of the garden lol . With this negative suggestion, they both ate. We opened our eyes, the good and evil were clear to us, death and life became clear to us , up and down, male and female , etc etc and the opposite worked so well.

Now, if you love life here on earth, if you enjoy this life, if you wish to live forever in this life, if you wish not to die, if you hate Death , if you enjoy to make money , if you are pleased to be here, my friend utakuwa ni mwendawazimu wa hali ya juu kumchukia shetani!

Kwanza utachukiaje kitu ambacho hukioni, hujui kikoje au kinafanana Vipi ; honestly we are very stupid and mad. Yaani kosa ufanye wewe halafu useme shetani kanipitia;

how ?

Shetani ni wewe mwenyewe; malaika ni wewe mwenyewe, you choose who you wanna be gadem!

Kama Sio shetani kushawishi watu kula tunda no one could have been on earth. Huoni Sasa hivi Una enjoy kutumia private parts zako, Sasa Kama Sio shetani ungezijua hizo; —follow your mythical bible

Acheni mambo ya ajabu eti utamsikia mtu I hate devil!!!! Hujawahi kumuona, humjui and probably hakujui, how do you hate in such scenario.

Two things are infinite in this world
1. The Universe
2. Man’s stupidity




Sent from my iPhone using JamiiForums
matokeo baada ya kusoma cosmology haya
 
mkuu usimfuananishe licifer na vitu vya kijingaa (majin) lucifer sio jin ni malaika bora kuliko wote labda kama mungu aliumba mwingine
Mimi nimeandika kwa mujibu wa Uislamu,
Huku hatunaga Lucifa ambaye ni malaika, Sorry
Huku Mungu aliumba
1.Malaika kwa Nuru.
2.Majini kwa Mwale wa MOTO.
3.Adamu Kwa Udongo ,na sisi watoto wa Adam kwa Manii (mbegu za Uzazi)
NB;
Malaika huwapingi amri ya Mungu kamwe,bali wao hutii kila wanaloambiwa.
Binadamu na Majini wao ni wadadisi na wapinzani pindi anapopewa amri na Mungu.
wawili hawa husaidiana katika ubaya wao dhidi ya amri za Mungu.
Binadamu hana uwezo wa kumuona Jinni wala Malaika kwa macho.
Bali Majini na Malaika wana uwezo wa kujibadili maumbile yao ya asili na kuchukua maumbile ya viumbe wengine.
Kama vile Nyoka, Punda, Nge, Mbwa,Nguruwe nk. kwa Majini
Na Malaika huweza kujibadili kuwa Njiwa, Binadamu Mtanashati.nk.

Viumbe hawa kwa maumbile yao ya asili sisi kama binadamu hatuwezi kuyahimili na si rahisi kuwaona kwa macho.
 
Mimi nimeandika kwa mujibu wa Uislamu,
Huku hatunaga Lucifa ambaye ni malaika, Sorry
Huku Mungu aliumba
1.Malaika kwa Nuru.
2.Majini kwa Mwale wa MOTO.
3.Adamu Kwa Udongo ,na sisi watoto wa Adam kwa Manii (mbegu za Uzazi)
NB;
Malaika huwapingi amri ya Mungu kamwe,bali wao hutii kila wanaloambiwa.
Binadamu na Majini wao ni wadadisi na wapinzani pindi anapopewa amri na Mungu.
wawili hawa husaidiana katika ubaya wao dhidi ya amri za Mungu.
Binadamu hana uwezo wa kumuona Jinni wala Malaika kwa macho.
Bali Majini na Malaika wana uwezo wa kujibadili maumbile yao ya asili na kuchukua maumbile ya viumbe wengine.
Kama vile Nyoka, Punda, Nge, Mbwa,Nguruwe nk. kwa Majini
Na Malaika huweza kujibadili kuwa Njiwa, Binadamu Mtanashati.nk.

Viumbe hawa kwa maumbile yao ya asili sisi kama binadamu hatuwezi kuyahimili na si rahisi kuwaona kwa macho.
kwenye kuruani huko hakuna watu wanaotwa wanafeli( mijitu mikibwaa)?
kwahiyokwenye kuruanii uko shetani ni jinn? kwmaba alaichukuliwa akiwa mtoto toka dunia akalelewa mbinguni😕😕😕 du mkubwaa huoni kitu apo?
 
Haya sasa pokea darasa hili kwa umakini.
Mwenyezimungu aliumba viumbe wote katika ardhi isipokuwa binadamu, yeye alikuwa wa mwisho kuumbwa ,na kwa hiyo kupewa majukumu.
Lakini kabla ya kuletwa binadamu ,palikuwepo kiumbe mwingine aliyekuwa na majukumu ya kuisimamia dunia kabla ya mwana damu kuumbwa.
Viumbe hao waliitwa Majini,wao waliishi muda Mungu aliotaka kuishi na kupewa miongozo mbali mbali ya maisha, lakini hatimae walifanya ufisadi mkubwa na kuanza kuuwana wenyewe kwa wenyewe kila aina ya uovu.Walimkasirisha sana Mungu, na Mungu akaamua kuwaangamiza wote isipokuwa kitoto kimoja cha jini kilibakizwa , na Malaika wakakichukua Mbinguni na wakaishi pamoja nacho kule katika hali ya utakatifu mkubwa .
Miaka mingi ika pita na Mungu akaamua kuleta kiumbe kingine kuchukua nafasi ya Majini hapa Duniani.
Kiumbe huyo alikua babu yetu Adam na mkewe Hawa(Eva ).
Maumbile yao yalifanywa kwa Udongo na Mungu akawapulizia Roho na wakawa na Uhai.

Mungu alipopendezwa na kazi yake akawaamuru Malaika wakipe heshima kiumbe kile kwa kukisujudia ili kutukuza kazi ya Mungu, na pia kuonesha ubora wa huyo kiumbe na utukufu alio pewa mbele ya viumbe wengine, kwa kuwa huyu ndio atakuwa mtawala wa dunia sasa.

Kumbuka ndani ya Adamu ndio watazaliwa Manabii watukufu na Mitume kama Noa, Ibrahim, Mussa,Yesu na Muhammad ambao hao wote watakuwa ni watakatifu wake Mungu wtakaokuja duniani huko baadae.

Malaika wote walisujudu na kuonesha unyenyekevu mkubwa kwa Adam lakini Yule mtoto wa Kijini ambaye aliishi pamoja nao aligoma, na kukaidi amri ya Mungu.

Mungu akamuuliza ,ni kwa nini umekaidi, akajibu ''mimi ni kiumbe bora kuliko yeye huyu,umeniumba kwa muale wa moto ,wakati yeye umemuumba kwa udongo'' tunaoukanya.

Hapo Mungu akamuambia nitokee hapa ,umelaanika kuanzia leo,Hivi wewe ndio unajua kipi bora kuliko mimi nilie umba?
unakaidije amri ya aliyekuumba,unajuaje kuwa wewe ni mkuu kiasi hicho.

Hapo shetani kwa kiburi chake alionesha ukaidi na kumwambia Mungu,kuanzia leo nakuahidi Huyu kiumbe mpya uliye muumba nitamuandama yeye na watoto wake ili nikuthibitishie kuwa ni dhaifu kuliko mimi.

Mungu akamwambia ,nitokee hapa umedhalilika na ume dogoshwa mbele yangu, wewe na watakaokufuata wote nitawaadhibu kwa moto wa JEHANNAM.

Hapo Yule Jini akabadiklishwa jina na kuitwa IBILISI yaa Mpotezaji, MUASI

Unajua nini nini kilimfanya Ibilisi achukie kumsujudia ADAM?
Ilikuw ni JEALOUS kwa nini wasirudishwe majini kuwa wakaazi wa Duniani ,badala yake wakaletwa viumbe wapya?
Hivyo alitamani awe yeye ndio nafasi ya Binadamu ,lakini alisahau kuwa haya ni maamuzi ya Muumba mwenyewe, si chaguo lake ADAM.

Kuanzia hapo mikakati yake Ibilisi ilianza ya kumfitinisha ADAM na Muumba wake, na alitumia lugha ya ulaghai na kumuahidi ahadi za uongo mpaka ADAM akavunja mashariti aliyopewa na Mungu, hivyo naye adam akawa makosani, lakini babu yetu huyu mara tuu alipobaini kuwa amekosea,alimgeukia Mungu na Kumtaka Msamaha. Tofauti na IBILISI yeye alipokosea alingeza kiburi

Hii ndio tofauti kati ya BINADAMU NA MAJINI WAOVU. ibilisi alipokosea hakuomba msamha,bali alizidi kiburi
Ndo maana Binadamu alie na kiburi hata kama anakosea huitwa shetani au Ibilisi kwa kuwa hizo ndizo sifa za shetani
Niishie hapo kwa leo.
NB
Mimi Ni Muislamuamu, nimetowa andiko hili kwa mujibu wa mafundisho ya Uislamu.
Nawakilisha kwa ihsani ya Jf
Maelezo yako bado yanahitaji maelezo mengi zaidi, kumbe kabla ya shetani kuepo uovu ulikuwepo!! pia chanzo cha uovu bado hujakisema. Mungu aliumba vitu vyote bila kasoro hasa hii kasoro ilitoka wapi?

Wakati hawa malaika wanakachukua katoto shetani? Mungu alikuwa hajui kuwa baadae katagoma amri yake yakumsujudia binadamu? Na kama alijua kwanini hakuangamiza kama wale majini wengine?
Zaidi sana tueleze uovu ulianza vipi wakati mungu hakuumba.

Mfano mdogo tu tuuchukulie wa madaktari wakigundua kama una kansa kwenye kidole wanaweza shauri kidole kikatwe ili kuzuia ueneaji wa kansa. Mungu alijua shetani baadae atakataa amri yake kwanini asingefanya maamuzi mapema kama alivyofanya kwa wale majini waovu. Huoni kama hizi ni hadithi tu kama za esopo.
 
Nimekaa nikatafari sana baadaeeee nikaja Kujua wewe shetani una uzuri wa pekee ambao wengine hawauoni.

Hivi bila wewe utajiri wa makanisa na misikiti yangetoka wapi?

Wewe ndio umetoa ajira kwa wachungaji na mashehe na wamefaidika sana na wewe kwa kujipatia utajiri

Mungu hakutaka watu wakaishi Kwake ila kwa akili zako ulitengeza kifo ili watu warudi wakaishi alikokuwa baba yao sijui nikupe zawadi gani katika hili

Yapo mengi yakukupongeza ila ngoja niishie hapa maana kila siku upendo unaongezeka juu yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shetani hakutengeneza kifo kila jambo lililetwa na Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom