Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,953
Unasema Mungu hakudhamiria kuishi pamoja na wanadamu but devil has made that. Je, Mungu hana msimamo?
Mungu anabadilika?
Mungu hajui la kesho?
Mungu anabadilika?
Mungu hajui la kesho?
Ulivyo andika kana kwamba una mjua vizuri huyo shetaniNyie watoto ndo mnaanza kuelewa kiduchu na hapo mnabweteka tu ila ukweli wa mambo mtaujua kadiri mnavyozidi kukua. Kuwa mwangalifu kwani kuna yatakayokukuta siku si nyingi na uhusiano wako na shetani utakuwa mkubwa na matokeo yake utayaona baadaye na utalaani kwanini hakukuwa na mtu wa kukuelewesha.
Umetisha sana hakuna kujiteteaNaomba mwenye koneksheni na shetani aniunganishe ili nimuulize maswali mawili Matatu,dini zote zinamtupia madongo yeye halafu hakuna sehemu waliyompa nafasi ajitetee
Nalog off
7- kwanini mungu amekuwa akimlaumu sana shetani kuliko shetani kumlaumu mungu?😎Hata mimi nikuwa na mashaka makubwa sana kuhusu uwepo wa huyu kiumbe anayeitwa shetani, kwa sababu kwa maelezo ya vitabu vyote vya dini ni kuwa huyu kiumbe alikua ni Malaika mkuu aliyekuwa ameumbwa na mungu kwa ajili ya malengo yake mwenyewe mpaka siku alipomuasi muumba wake ambaye ni Mungu kwa mujibu wa hizo hadithi za kwenye vitabu;
Naomba wajuzi wa haya mambo waje hapa kilingeni kujibu hoja, bila kuleta Jazba.
Maswali.😱
1 -Ni kwanini Mungu anaendelea kumvumilia huyo kiumbe anayeitwa shetani katika harakati za kuwaangamiza viumbe wengine walioumbwa na Mungu wanaoitwa binadamu?
2 -Mungu Muumba wa binadamu na Shetani atapata faida gani kuwachoma binadamu ambao kwa maelezo ya vitabu hivyo upeo wake wa kuelewa mambo ni mdogo kuliko wa shetani aliyekua Malaika wake Mkuu?
3 -Inamaana Mungu wakati anamuumba shetani hakujua kama angeweza kumuasi?
4 -Nilini shetani alibadilika na kuwa na mapembe na mkia kama taswira ya shetani inavyoonyeshwa na wanazuoni wa dini?
5-huko kwenye hivyo vitabu kuna hadithi ya Adamu na Hawa ama Eva, na kwa mujibu wa hadithi za humo ni kuwa baada ya kula tunda walipewa adhabu na moja ya viumbe vilivyopewa adhabu ni nyoka, Ni kwanini mungu ampe nyoka adhabu wakati aliingiliwa na shetani badala ya kumpa adhabu shetani?
6 -Je Mungu anakiogopa kiumbe chake alichokiumba (Shetani) hadi anashindwa kukichukulia hatua stahiki na badala yake amempa uhuru wa kuingilia viumbe dhaifu kama nyoka na binadamu.😎
Wororo yayeeee...akagudha uroroBeyond your mind..there is no such a thing called Satan/devil.
You create it/him in your mind according to how you have been programmed by the religion.
Toka nolilijue hilo nimejikuta navadilika Sana maana nimekuwa nikilitendea kazi Kama sehem ya kuthibitisha Ni kweli shetani tunamtengeneza ndani ya mawazo yetu??
Nimegundua Ni kweli. UKifanya maovu ujue Ni matokeo ya mawazo yako na sio ushawishi kutoka nje (shetani)
Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
Unasema Mungu hakudhamiria kuishi pamoja na wanadamu but devil has made that. Je, Mungu hana msimamo?
Mungu anabadilika?
Mungu hajui la kesho?
JE, UMESHAFUTA HII KAULI YAKO? FANYA HIMA!Nimekaa nikatafari sana baadaeeee nikaja Kujua wewe shetani una uzuri wa pekee ambao wengine hawauoni.
Hivi bila wewe utajiri wa makanisa na misikiti yangetoka wapi?
Wewe ndio umetoa ajira kwa wachungaji na mashehe na wamefaidika sana na wewe kwa kujipatia utajiri
Mungu hakutaka watu wakaishi Kwake ila kwa akili zako ulitengeza kifo ili watu warudi wakaishi alikokuwa baba yao sijui nikupe zawadi gani katika hili
Yapo mengi yakukupongeza ila ngoja niishie hapa maana kila siku upendo unaongezeka juu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa nikatafari sana baadaeeee nikaja Kujua wewe shetani una uzuri wa pekee ambao wengine hawauoni.
Hivi bila wewe utajiri wa makanisa na misikiti yangetoka wapi?
Wewe ndio umetoa ajira kwa wachungaji na mashehe na wamefaidika sana na wewe kwa kujipatia utajiri
Mungu hakutaka watu wakaishi Kwake ila kwa akili zako ulitengeza kifo ili watu warudi wakaishi alikokuwa baba yao sijui nikupe zawadi gani katika hili
Yapo mengi yakukupongeza ila ngoja niishie hapa maana kila siku upendo unaongezeka juu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Shetani naye anakupenda? Mnapendana wote?Nimekaa nikatafari sana baadaeeee nikaja Kujua wewe shetani una uzuri wa pekee ambao wengine hawauoni.
Hivi bila wewe utajiri wa makanisa na misikiti yangetoka wapi?
Wewe ndio umetoa ajira kwa wachungaji na mashehe na wamefaidika sana na wewe kwa kujipatia utajiri
Mungu hakutaka watu wakaishi Kwake ila kwa akili zako ulitengeza kifo ili watu warudi wakaishi alikokuwa baba yao sijui nikupe zawadi gani katika hili
Yapo mengi yakukupongeza ila ngoja niishie hapa maana kila siku upendo unaongezeka juu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kabla Babu yetu Adam na Bibi Eva kuletwa duniani, waliishi wapi mwanzo ? si kule Padise (peponi)?Mungu hakutaka watu wakaishi Kwake ila kwa akili zako ulitengeza kifo ili watu warudi wakaishi alikokuwa baba yao sijui nikupe zawadi gani katika hili. DAAA
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe muongo hujasoma hivyo vitabu vyote, labda ulipitia tuu Biblia,kwa sababu kwa maelezo ya vitabu vyote vya dini ni kuwa huyu kiumbe alikua ni Malaika mkuu aliyekuwa ameumbwa na mungu kwa ajili ya malengo yake mwenyewe mpaka siku alipomuasi muumba wake ambaye ni Mungu kwa mujibu wa hizo hadithi za kwenye vitabu;
Si kila asiyeonekana hayupo,
Wengine wanaiita ganja wengine msuba wengine bomu lakini naona umekuja na jina jipya "shetani" 😁 😁 😁Nimekaa nikatafari sana baadaeeee nikaja Kujua wewe shetani una uzuri wa pekee ambao wengine hawauoni.
Hivi bila wewe utajiri wa makanisa na misikiti yangetoka wapi?
Wewe ndio umetoa ajira kwa wachungaji na mashehe na wamefaidika sana na wewe kwa kujipatia utajiri
Mungu hakutaka watu wakaishi Kwake ila kwa akili zako ulitengeza kifo ili watu warudi wakaishi alikokuwa baba yao sijui nikupe zawadi gani katika hili
Yapo mengi yakukupongeza ila ngoja niishie hapa maana kila siku upendo unaongezeka juu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app