Nakupenda sana Shetani

Nakupenda sana Shetani

Wayo

Senior Member
Joined
Aug 18, 2017
Posts
179
Reaction score
420
Nimekaa nikatafari sana baadaeeee nikaja Kujua wewe shetani una uzuri wa pekee ambao wengine hawauoni.

Hivi bila wewe utajiri wa makanisa na misikiti yangetoka wapi?

Wewe ndio umetoa ajira kwa wachungaji na mashehe na wamefaidika sana na wewe kwa kujipatia utajiri

Mungu hakutaka watu wakaishi Kwake ila kwa akili zako ulitengeza kifo ili watu warudi wakaishi alikokuwa baba yao sijui nikupe zawadi gani katika hili

Yapo mengi yakukupongeza ila ngoja niishie hapa maana kila siku upendo unaongezeka juu yako.


Pia Soma

Katika hili, namwamini Shetani - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeenda mbele sana.


Umewaza nje ya box. Lakini siyo kwamba nakuunga mkono bali umenipa tafakuri pana zaidi kuhusu uwezo wa akili na fananizi kiimani
Nimekaa nikatafari sana baadaeeee nikaja Kujua wewe shetani una uzuri wa pekee ambao wengine hawauoni.

Hivi bila wewe utajiri wa makanisa na misikiti yangetoka wapi?

Wewe ndio umetoa ajira kwa wachungaji na mashehe na wamefaidika sana na wewe kwa kujipatia utajiri

Mungu hakutaka watu wakaishi Kwake ila kwa akili zako ulitengeza kifo ili watu warudi wakaishi alikokuwa baba yao sijui nikupe zawadi gani katika hili

Yapo mengi yakukupongeza ila ngoja niishie hapa maana kila siku upendo unaongezeka juu yako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wayo, Kuna mashetani majini na wanaadam

Sasa wewe ni.........nimekupata mkuu

Naona hapa ulikuwa anamtumia salam za pongezi.
 
Naomba mwenye koneksheni na shetani aniunganishe ili nimuulize maswali mawili Matatu,dini zote zinamtupia madongo yeye halafu hakuna sehemu waliyompa nafasi ajitetee
Nalog off
Ndio alioonesha udhaifu wa mungu muweza yote alietaka watu waishi kama mazombie.

Kama kifo ndio chanzo cha kuchukiwa mbona kifo kimeumbwa na huyo huyo wanaempenda na kumtukuza tena kawaandalia moto wapinzani wake wakati huohuo anatufundisha tuwapende adui zetu.

Siku zote nimekuwa na mashaka sana na akili zinazo mtukuza mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyuu jamaa mjasiriamali anamuonea wivu shetani alivyotumia fursa kwa wanadamu... Anatamkni yee angekua ndo Shetani apige pesa
 
Beyond your mind..there is no such a thing called Satan/devil.

You create it/him in your mind according to how you have been programmed by the religion.


Toka nolilijue hilo nimejikuta navadilika Sana maana nimekuwa nikilitendea kazi Kama sehem ya kuthibitisha Ni kweli shetani tunamtengeneza ndani ya mawazo yetu??

Nimegundua Ni kweli. UKifanya maovu ujue Ni matokeo ya mawazo yako na sio ushawishi kutoka nje (shetani)

Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
 
Ndio alioonesha udhaifu wa mungu muweza yote alietaka watu waishi kama mazombie.

Kama kifo ndio chanzo cha kuchukiwa mbona kifo kimeumbwa na huyo huyo wanaempenda na kumtukuza tena kawaandalia moto wapinzani wake wakati huohuo anatufundisha tuwapende adui zetu.

Siku zote nimekuwa na mashaka sana na akili zinazo mtukuza mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie watoto ndo mnaanza kuelewa kiduchu na hapo mnabweteka tu ila ukweli wa mambo mtaujua kadiri mnavyozidi kukua. Kuwa mwangalifu kwani kuna yatakayokukuta siku si nyingi na uhusiano wako na shetani utakuwa mkubwa na matokeo yake utayaona baadaye na utalaani kwanini hakukuwa na mtu wa kukuelewesha.
 
Beyond your mind..there is no such a thing called Satan/devil.

You create it/him in your mind according to how you have been programmed by the religion.


Toka nolilijue hilo nimejikuta navadilika Sana maana nimekuwa nikilitendea kazi Kama sehem ya kuthibitisha Ni kweli shetani tunamtengeneza ndani ya mawazo yetu??

Nimegundua Ni kweli. UKifanya maovu ujue Ni matokeo ya mawazo yako na sio ushawishi kutoka nje (shetani)

Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
Sasa ukisema shetani hakuna,hii hoja ya maovu inakujaje?,i umefanya ulilopendezewa na nafsi yako?amabalo kwako umeliona zuri tuu
 
Back
Top Bottom