Dah kuna MTU huyo yani ye in kila SAA ilikuwa I love u ukimuliza upo wapi atkujibu
Nipo home I love you,
Ukimwambia pitia basi hapo dukani nletee mafuta ya nywele utaskia
Haya beby I love you
Good9t basi tena utaskia
You too i love you
Khaaa kunchoshaga miye"!!!!!
hilo hapana labda nimewai kusema i love u too
Za uongo hata hazihesabiki...za ukweli kabisa ni kwa wadada wawili tu..! Hopefully sitamwambia mwingine zaidi ya huyu..lol
Mpaka leo ananipenda ila simtaki yupo geitaKwenye mapenzi je?
Nani wa kwanza?
Yupo wapi sasa?
Aaarrgh...too bad