Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,550
- 860,690
- Thread starter
- #81
Shenzi kabisa hawaWanaume wengine ni wauwaji anamchukulia nyumba ndogo chumba mtaa huo huo mnaoishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Shenzi kabisa hawaWanaume wengine ni wauwaji anamchukulia nyumba ndogo chumba mtaa huo huo mnaoishi
Hakuna shamba linalokosa bustani.... Mfalme Suleiman alikuwa na wake mia tatu na MASURIA (nyumba ndogo idadi hiyo hiyo)... Mungu alimuumbia Adam HAWA hakumuumbia HUYU[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Ngoja nijenge nyumba ndogo mie
Njia ni moja tu dada angu hizo nyingine amini usiamini zina madhara kiafya, Mungu hakukosea kuumba hiyo njia kama usahihi wa kuondoa matamanioNapingana na wewe kwenye hilo la uzazi,kuna njia nyingi sana kwa mwanaume anayejali na kujitambua kupunguza ashki za mwili wake! Sasa kwanini msishirikiane na mkeo mkapunguza hizo hisia zako bila ya kusababisha madhara
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfalme Suleiman alikuwa kibokoHakuna shamba linalokosa bustani.... Mfalme Suleiman alikuwa na wake mia tatu na MASURIA (nyumba ndogo idadi hiyo hiyo)... Mungu alimuumbia Adam HAWA hakumuumbia HUYU[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibuuuu tupu
Alikuwa too much kina Mswati wanasubiriMfalme Suleiman alikuwa kiboko
Hivi utawaacha wangapi? Masuala ya talaka ni ushamba. Michepuko inasaidia kuondoa mapressure ya kufikia talaka. Wewe huwezi jua kwa vile ni mwanamke. Usisahau need ya tendo kwa mwanaume na mwanamke ni tofauti. Mwanamke atakuwa na hitaji hasa wakati wa ovulation, kabla na baada ya kutumia. Kwetu usisahau kama unakula vizuri sperm zinatengenezwa na lazima zitoke hata kwa CHAPUTA au kuota. Shida ya nini ukiomba unakataliwa na je utataliki wangapi?Asante malaika usiyekosea kwa mkeo! ila ukiona hataki kukupa kilichokufanya umuoea kaa nae chini zungumza nae,ukiona hakuelewi basi muondoe kwa Talaka umchukue huyo atakayekupa muda wote kama pumzi,hili si jambo la ajabu lakini litakua la kushangaza kama utazidisha makosa juu ya kosa la mkeo
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu hii sentence imewatibua watu kinyama.... Niwatake radhi wote walioghadhibishwa na huu mtazamo, isichukuliwe kuwa huu ndio msimamo wanguNyumba ndoogo ndio msingi mkuu wa nyumba nyingi imara...nimerudia tu aloyasema Mshana Jr kulee juu
Huo ndo msimamo wako mkuu, chukua responsibility tu hakuna namna.Duu hii sentence imewatibua watu kinyama.... Niwatake radhi wote walioghadhibishwa na huu mtazamo, isichukuliwe kuwa huu ndio msimamo wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Huo ndo msimamo wako mkuu, chukua responsibility tu hakuna namna.
samua labda wengine, binafsi sijawahi kumroga mwanamke hata mmoja.... Nawapenda sanaMnatukoroga sana wanaume Mungu anawaona
Nadhani kaka hujanielewa namaanisha kutuchanganya na wanawake wenginesamua labda wengine, binafsi sijawahi kumroga mwanamke hata mmoja.... Nawapenda sana
Sent using Jamii Forums mobile app
OK sawa nimekupata sasaNadhani kaka hujanielewa namaanisha kutuchanganya na wanawake wengine
OK sawa nimekupata sasaNadhani kaka hujanielewa namaanisha kutuchanganya na wanawake wengine
Ili usitaliki wengi ni vyema usioe ili wapange utakavyoHivi utawaacha wangapi? Masuala ya talaka ni ushamba. Michepuko inasaidia kuondoa mapressure ya kufikia talaka. Wewe huwezi jua kwa vile ni mwanamke. Usisahau need ya tendo kwa mwanaume na mwanamke ni tofauti. Mwanamke atakuwa na hitaji hasa wakati wa ovulation, kabla na baada ya kutumia. Kwetu usisahau kama unakula vizuri sperm zinatengenezwa na lazima zitoke hata kwa CHAPUTA au kuota. Shida ya nini ukiomba unakataliwa na je utataliki wangapi?
Hivi wafahamu waweza tumia mapaja tu ya mkeo kupunguza ashki zako? Tuwe na moyo wa binadamu,kama wewe utaumizwa mkeo akichepuka basi jua hata wewe pia ataumia tena zaidi maana ataona umeshindwa kumvumilia kisa kazaaNjia ni moja tu dada angu hizo nyingine amini usiamini zina madhara kiafya, Mungu hakukosea kuumba hiyo njia kama usahihi wa kuondoa matamanio
Sent using Jamii Forums mobile app